Tunaoa tu kuwafurahisha wazazi, otherwise I'd rather remain single!! Unaona mke wanakuchapia tu..aah!!
Tunaoa tu kuwafurahisha wazazi, otherwise I'd rather remain single!! Unaona mke wanakuchapia tu..aah!!
Tunaoa tu kuwafurahisha wazazi, otherwise I'd rather remain single!! Unaona mke wanakuchapia tu..aah!!
"Ahaaaaa unafikiri hauwezi kupata ukimwi kwa kukaa na familia yako mkiangalia TV? ... ​siku hizi hata wanawake wana michepuko"
Ndugu unaniambia ni edit hilo neno kwani mi nimeleta hii mada?? Nilichofanya ni kujaribu kuelezea nilichoelewa kutoka kwa mleta mada.
Acha uzinzi wewe...
Umevurugwa.. Ukitaka kuchanganyikiwa duniani wewe fuatilia vitu vidodo vidogo vya kijinga,lazma mwisho utakua chizi.
Dunia ina mambo,kweli tembea uone au usikie mengi.
Leo nimeng'oa mlupo,kidosho swadakta mtoto wa watu nikajilie vyangu. Kufika loji nikamchojoa viwalo vyake. Nikaanza maandalizi ya kumwelekeza njiakuu.
Nikaanzia manjonjo,ile kufika kifuani kwenye mtindi nikapigwa stop,usiguse hapo,hapo ni kwa ajili ya mme wangu. Mme wangu tu ndio anaruhusiwa kunyonya. Nimechoka,kumbe kuna vitu vingine ni kwa ajili ya mme na vingine sie wadandiaji!
Tafadhali edit hilo neno KIBLA, hilo neno si mahala pake hapo kabisa. Kibla ni uelekeo(direction) maalumu wa waislamu ulimwenguni kote katika kutekeleza ibada zao kama swala ,kuchinja n.k , kulihusisha na tendo ovu la zinaa ni kutowatendea haki kabisa. Kuwa mstaarabu! Usiwachokoze halafu wakianza kusema useme wanaleta udini. Chonde chonde badilisha hilo neno
Cc#mkoroshokigoli
Dunia ina mambo,kweli tembea uone au usikie mengi.
Leo nimeng'oa mlupo,kidosho swadakta mtoto wa watu nikajilie vyangu. Kufika loji nikamchojoa viwalo vyake. Nikaanza maandalizi ya kumwelekeza njiakuu.
Nikaanzia manjonjo,ile kufika kifuani kwenye mtindi nikapigwa stop,usiguse hapo,hapo ni kwa ajili ya mme wangu. Mme wangu tu ndio anaruhusiwa kunyonya. Nimechoka,kumbe kuna vitu vingine ni kwa ajili ya mme na vingine sie wadandiaji!
Mpwa umesema aache uzinzi au aache hadithi za kitoto?
Kuangalia qibra ni kukubali kuchinjwa, demu kama kakuvulia nguo ili umle kwa kiarabu tunsema kaangalia qibra, uko na sawli jingine
Acha uzinzi wewe...
Dunia ina mambo,kweli tembea uone au usikie mengi.
Leo nimeng'oa mlupo,kidosho swadakta mtoto wa watu nikajilie vyangu. Kufika loji nikamchojoa viwalo vyake. Nikaanza maandalizi ya kumwelekeza njiakuu.
Nikaanzia manjonjo,ile kufika kifuani kwenye mtindi nikapigwa stop,usiguse hapo,hapo ni kwa ajili ya mme wangu. Mme wangu tu ndio anaruhusiwa kunyonya. Nimechoka,kumbe kuna vitu vingine ni kwa ajili ya mme na vingine sie wadandiaji!
Duh.......hukujua kuwa ni mke wa mtu?