Huko ni kwa mme wangu!

Huko ni kwa mme wangu!

Eti ulianza "maandalizi ya kumpeleka kibla"
Ulikuwa unamchinja mke wa mtu?
 
"Ahaaaaa unafikiri hauwezi kupata ukimwi kwa kukaa na familia yako mkiangalia TV? ... ​siku hizi hata wanawake wana michepuko"
 
Sasa hilo neno kibla lilikuwa na ulazima gani? Tafsidaa zote umeona hio ndo imetoshea?

Kuangalia qibra ni kukubali kuchinjwa, demu kama kakuvulia nguo ili umle kwa kiarabu tunsema kaangalia qibra, uko na sawli jingine
 
Dunia ina mambo,kweli tembea uone au usikie mengi.

Leo nimeng'oa mlupo,kidosho swadakta mtoto wa watu nikajilie vyangu. Kufika loji nikamchojoa viwalo vyake. Nikaanza maandalizi ya kumwelekeza kibla.

Nikaanzia manjonjo,ile kufika kifuani kwenye mtindi nikapigwa stop,usiguse hapo,hapo ni kwa ajili ya mme wangu. Mme wangu tu ndio anaruhusiwa kunyonya. Nimechoka,kumbe kuna vitu vingine ni kwa ajili ya mme na vingine sie wadandiaji!

siku nyingine usifakamie tu ukazani ni maziwa nyingine Zanzi oooh. kakuepusha na dhahama,Wapi corner Bar
 
Unless unamjua huyo msichana...wanawake sikuhizi wanapaka madawa ya kulevya/sumu kwenye maziwa....ukilamba tu unapigwa na usingizi wa hatari...anachukua kila kitu (hadi nguo). Ukiamka unajikuta hospitali na mkewako kasimama pembeni.

Asante kwa ushauri mkuu.
 
Tafadhali edit hilo neno KIBLA, hilo neno si mahala pake hapo kabisa. Kibla ni uelekeo(direction) maalumu wa waislamu ulimwenguni kote katika kutekeleza ibada zao kama swala ,kuchinja n.k , kulihusisha na tendo ovu la zinaa ni kutowatendea haki kabisa. Kuwa mstaarabu! Usiwachokoze halafu wakianza kusema useme wanaleta udini. Chonde chonde badilisha hilo neno

Cc#mkoroshokigoli

Umevurugwa.. Ukitaka kuchanganyikiwa duniani wewe fuatilia vitu vidodo vidogo vya kijinga,lazma mwisho utakua chizi.
 
Tunaoa tu kuwafurahisha wazazi, otherwise I'd rather remain single!! Unaona mke wanakuchapia tu..aah!!
 
Back
Top Bottom