Huko ni kwa mme wangu!

Huko ni kwa mme wangu!

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,065
Dunia ina mambo,kweli tembea uone au usikie mengi.

Leo nimeng'oa mlupo,kidosho swadakta mtoto wa watu nikajilie vyangu. Kufika loji nikamchojoa viwalo vyake. Nikaanza maandalizi ya kumwelekeza njiakuu.

Nikaanzia manjonjo,ile kufika kifuani kwenye mtindi nikapigwa stop,usiguse hapo,hapo ni kwa ajili ya mme wangu. Mme wangu tu ndio anaruhusiwa kunyonya. Nimechoka,kumbe kuna vitu vingine ni kwa ajili ya mme na vingine sie wadandiaji!
 
Sasa hilo neno kibla lilikuwa na ulazima gani? Tafsidaa zote umeona hio ndo imetoshea?

Kwa waislam, unapotaka kuchinja mnyama lazima umgeuzie kibla! Hapa nadhani anamaanisha alipotaka "kuchinja" huyo mke wa mtu
 
Muongo uyo anahisi ukiyanyonya yatalala mbona huko kwa mume asa hakusema
 
Dunia ina mambo,kweli tembea uone au usikie mengi.

Leo nimeng'oa mlupo,kidosho swadakta mtoto wa watu nikajilie vyangu. Kufika loji nikamchojoa viwalo vyake. Nikaanza maandalizi ya kumwelekeza kibla.

Nikaanzia manjonjo,ile kufika kifuani kwenye mtindi nikapigwa stop,usiguse hapo,hapo ni kwa ajili ya mme wangu. Mme wangu tu ndio anaruhusiwa kunyonya. Nimechoka,kumbe kuna vitu vingine ni kwa ajili ya mme na vingine sie wadandiaji!

Unless unamjua huyo msichana...wanawake sikuhizi wanapaka madawa ya kulevya/sumu kwenye maziwa....ukilamba tu unapigwa na usingizi wa hatari...anachukua kila kitu (hadi nguo). Ukiamka unajikuta hospitali na mkewako kasimama pembeni.
 
Unless unamjua huyo msichana...wanawake sikuhizi wanapaka madawa ya kulevya/sumu kwenye maziwa....ukilamba tu unapigwa na usingizi wa hatari...anachukua kila kitu (hadi nguo). Ukiamka unajikuta hospitali na mkewako kasimama pembeni.
Hawa wachakachuaji wake za watu ni kuwaacha tu ili yawakute
 
Unless unamjua huyo msichana...wanawake sikuhizi wanapaka madawa ya kulevya/sumu kwenye maziwa....ukilamba tu unapigwa na usingizi wa hatari...anachukua kila kitu (hadi nguo). Ukiamka unajikuta hospitali na mkewako kasimama pembeni.

Tafadhali edit hilo neno KIBLA, hilo neno si mahala pake hapo kabisa. Kibla ni uelekeo(direction) maalumu wa waislamu ulimwenguni kote katika kutekeleza ibada zao kama swala ,kuchinja n.k , kulihusisha na tendo ovu la zinaa ni kutowatendea haki kabisa. Kuwa mstaarabu! Usiwachokoze halafu wakianza kusema useme wanaleta udini. Chonde chonde badilisha hilo neno

Cc#mkoroshokigoli
 
Tafadhali edit hilo neno KIBLA, hilo neno si mahala pake hapo kabisa. Kibla ni uelekeo(direction) maalumu wa waislamu ulimwenguni kote katika kutekeleza ibada zao kama swala ,kuchinja n.k , kulihusisha na tendo ovu la zinaa ni kutowatendea haki kabisa. Kuwa mstaarabu! Usiwachokoze halafu wakianza kusema useme wanaleta udini. Chonde chonde badilisha hilo neno

Cc#mkoroshokigoli

Ndugu unaniambia ni edit hilo neno kwani mi nimeleta hii mada?? Nilichofanya ni kujaribu kuelezea nilichoelewa kutoka kwa mleta mada.
 
Dunia ina mambo,kweli tembea uone au usikie mengi.

Leo nimeng'oa mlupo,kidosho swadakta mtoto wa watu nikajilie vyangu. Kufika loji nikamchojoa viwalo vyake. Nikaanza maandalizi ya kumwelekeza kibla.

Nikaanzia manjonjo,ile kufika kifuani kwenye mtindi nikapigwa stop,usiguse hapo,hapo ni kwa ajili ya mme wangu. Mme wangu tu ndio anaruhusiwa kunyonya. Nimechoka,kumbe kuna vitu vingine ni kwa ajili ya mme na vingine sie wadandiaji!

Kuhusianisha maswala ya ngono na mabo ya dini za wengine ni jambo baya sana!! Ile heshima yetu Watanzania ya kuheshimu imani za wengine ndiyo inayotufanya tukae kwenye keyboards zetu leo na kucomment humu.
 
Dunia ina mambo,kweli tembea uone au usikie mengi.

Leo nimeng'oa mlupo,kidosho swadakta mtoto wa watu nikajilie vyangu. Kufika loji nikamchojoa viwalo vyake. Nikaanza maandalizi ya kumwelekeza kibla.

Nikaanzia manjonjo,ile kufika kifuani kwenye mtindi nikapigwa stop,usiguse hapo,hapo ni kwa ajili ya mme wangu. Mme wangu tu ndio anaruhusiwa kunyonya. Nimechoka,kumbe kuna vitu vingine ni kwa ajili ya mme na vingine sie wadandiaji!

Kama neno hulijui maana yake usikurupuke kulisema..
 
Dunia ina mambo,kweli tembea uone au usikie mengi.

Leo nimeng'oa mlupo,kidosho swadakta mtoto wa watu nikajilie vyangu. Kufika loji nikamchojoa viwalo vyake. Nikaanza maandalizi ya kumwelekeza kibla.

Nikaanzia manjonjo,ile kufika kifuani kwenye mtindi nikapigwa stop,usiguse hapo,hapo ni kwa ajili ya mme wangu. Mme wangu tu ndio anaruhusiwa kunyonya. Nimechoka,kumbe kuna vitu vingine ni kwa ajili ya mme na vingine sie wadandiaji!

Alikuwa akitaka wewe uongeze dau tu; wizi mtupu!
 
Back
Top Bottom