Huko mbeleni atajutia maamuzi yake

Huko mbeleni atajutia maamuzi yake

Mimi naona kama ameuza akaenda kununua kwingine ni sawa tu.
Tena huyo mwanamke kamshauri vizuri kujenga ingekuwa mwingine angekuwa anakesha Bar na vimada mpaka pesa iishe.
Mwanamke katazama mbele, lazima Mali wagawane, mwanamke anatumia akili kupata hiyo Mali, imeisha hiyiooo.
 
Unajua maana ya yule mwanamke kutaka kwenda site mda wote,
Au maana ya yeye kuja kushindwa Dukani mda wote.
Kubeba mimba Faster...
Analengo,alilonalo Kichwani kwake....
Lengo;-

1.Ndoa kama uwekezaji wa kudumu.
2.Talaka baada ya kufikia malengo baada ya ndoa kama kupata nyumba ya kuishi na mtoto wake hata akienda mahakamani yeye ndio atapewa nyumba Ili alee mtoto coz bado mdogo!!

Hata hivyo jamaa angefanya nini!!?zaidi ya kujenga na kuishi na huyo manzi!!?

Maisha yanataka nini!!?

Labda achelewe kumuoa yaani Aishi name kwanza uchumba sugu kwa muda mrefu sana akifanya tathmini!!
 
Umenielewa nilichomaanisha, Huyu mshikaji ataumia sana, Baadae Mali yake watagawana pasu kwa pasu, mwanamke kashachungulia mbele.
Hata hivyo 100M sio pesa nyingi sana kama anavyodhani.

Zinaweza kuisha kabla nyumba haijaisha au vikaishana vyote
 
Hayo ndiyo matumizi ya pesa wewe hutaki hizo pesa zihamie kwa mwanamke!kuomba kupokezana
 
Umenielewa nilichomaanisha, Huyu mshikaji ataumia sana, Baadae Mali yake watagawana pasu kwa pasu, mwanamke kashachungulia mbele.
Na ndivyo ilivyo!!lakini Mungu hawezi mwacha coz akimtelekeza na mtoto mambo ndio yatamharibikia zaidi!!
 
Ushauri wangu mwambie UKWERIIIII na hata ikiwa atakupunguza kwenye Maisha yake ama kukuchukia.

Fanya Kama vile PILATO ALIVYO jitoa kwenye kesi ya mkombozi YESU KRISTO wa Nazareth.

Kwa Sasa ushauri wangu ni huo.
Kwa kuongezea wakati anampa Ushauri auwasilishe Kwa njia zote mbili, Sauti na written kisha akauhifadhi sehemu

Mambo yakimwendea ndivyo sivyo utachukua Flash yenye ule ujumbe uliompatia Kwa njia ya sauti kisha utanunua zile speaker za Bwana Majizo halafu uta bonyeza Repeat

Baada ya hapo tutakuwa sehemu tunakunywa naye juicy ya tende huku tunamsikilizisha ule ujumbe wa sauti 😜
 
Kwa kuongezea wakati anampa Ushauri auwasilishe Kwa njia zote mbili, Sauti na written kisha akauhifadhi sehemu

Mambo yakimwendea ndivyo sivyo utachukua Flash yenye ule ujumbe uliompatia Kwa njia ya sauti kisha utanunua zile speaker za Bwana Majizo halafu uta bonyeza Repeat

Baada ya hapo tutakuwa sehemu tunakunywa naye juicy ya tende huku tunamsikilizisha ule ujumbe wa sauti 😜
Hii nzurii Sanaa Sanaa 😊 naomba azingatie huu ushauri mzuri sanaa 🙏🙏
 
Mwanamke katazama mbele, lazima Mali wagawane, mwanamke anatumia akili kupata hiyo Mali, imeisha hiyiooo.
Jamaa hajasema kuwa ni mkee wake kasema ni demu wake na haijulikana kama wanaishi pamoja. Ila kikubwa hata wakigawana sio mbaya jamaa atapata nusu ya alichowekeza
 
Hii ndio baadae utasikia mwanamke anasema; tulijenga wote tena kwa mateso makubwa, kumbe mwana alijenga kwa pesa yake baada ya kuuza kiwanja cha urithi 😄
 
Kwanini mmeshaweka assumption ya kuwa atalia mara atapigwa mara sijui nini...kuna wanawake wenye nyota zao na bahati unaweza kushangaa hizo hela zikaleta neema juu ya neemq
 
Words marked,ni suala la muda tu,wanaJF tunapenda sana merejesho,ni.matumaini yetu siku za usoni utatujia na.mrejesho
 
Huyo sasa ndiyo mwanamke wa kuishi nae kama anampenda na kuna mtoto anakuja.
Watu wengi wasio na wake ni broke na lonely AF.
Hela zinakuja na kuondoka
 
Kama hukuwa mshauri wakati anapata hilo eneo ambalo ameuza 100 m,basi kaa pembeni jamaa ni jamuhuri inayojitegemea.

Wacha umbea mtoto wa kiume tafuta vyako.

Unakusanya maneno huku na kule kwa faida ya Nani?
Tafuta vyako mchizi
 
Mimi naona kama ameuza akaenda kununua kwingine ni sawa tu.
Tena huyo mwanamke kamshauri vizuri kujenga ingekuwa mwingine angekuwa anakesha Bar na vimada mpaka pesa iishe.
Hakika,na watu watambue kuwa si wanawake wote wabaya na si wanaume wote wabaya
 
Back
Top Bottom