Huko kwenu yapo haya ?

Huko kwenu yapo haya ?

Siku ya pili sasa huku mtaana kwetu naona viongozi wa mitaa na wananchi eti wanaandikishana, nilivyouliza wanasema kuna hela zinatolewa na nchi za nje so kila kaya itagawiwa hizo pesa. Mimi nimeshindwa kuelewa kweli kuna nchi inataka kugawa hela?
Ni pesa za halimashauri zinatolewa kwa mkopo kwa wanaccm, hii hutokea kila uchaguzi unapokaribia na utaona sabuni za miche na chumvi vikigawiwa kwa wanaccm ikiambatana na semina.
 
Ni pesa za halimashauri zinatolewa kwa mkopo kwa wanaccm, hii hutokea kila uchaguzi unapokaribia na utaona sabuni za miche na chumvi vikigawiwa kwa wanaccm ikiambatana na semina.
noma kwel kwahyo ni hela zetu wenyewe zimebadilika na kisema zimetoka nje
 
Back
Top Bottom