ezekia ngailo
Member
- Nov 1, 2015
- 40
- 21
Siku ya pili sasa huku mtaana kwetu naona viongozi wa mitaa na wananchi eti wanaandikishana, nilivyouliza wanasema kuna hela zinatolewa na nchi za nje so kila kaya itagawiwa hizo pesa.
Mimi nimeshindwa kuelewa kweli kuna nchi inataka kugawa hela?
Mimi nimeshindwa kuelewa kweli kuna nchi inataka kugawa hela?


Wapo serious kweli? Ni afadhali wangezitumia kutatua changamoto nyingine
