Huhusu codes za TCU

Huhusu codes za TCU

Yorke

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2017
Posts
236
Reaction score
259
Nimechaguliwa chuo zaidi ya kimoja na sijatumiwa codes na TCU nimewapigia chuo wameniambia nisubiri codes za TCU naona muda unazidi kwenda naombeni ushauri nifanyaje
 
Nimechaguliwa chuo zaidi ya kimoja na sijatumiwa codes na TCU nimewapigia chuo wameniambia nisubiri codes za TCU naona muda unazidi kwenda naombeni ushauri nifanyaje
Polee... Na mm nilikuwa n ilo tatizo ila niliagiza mtu tcu jan akaenda kufatilia ilo swala.... Alipewa fomu akanijazia baadh ya detail na jion hii tcu wamenitumia code.... Nilikuw nawaz kam nn yan bt ssiv ALHAMDULILLAH.... Fatilia tcu utapat..
 
Polee... Na mm nilikuwa n ilo tatizo ila niliagiza mtu tcu jan akaenda kufatilia ilo swala.... Alipewa fomu akanijazia baadh ya detail na jion hii tcu wamenitumia code.... Nilikuw nawaz kam nn yan bt ssiv ALHAMDULILLAH.... Fatilia tcu utapat..
Asante mkuu kesho nitafuatilia
 
Ww unafaida kwa sababu upo dar je ungekuwa huku kwe2
 
Back
Top Bottom