Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Wanajamvi, utu uzima unazidi kuyoyoma, miaka 33 inakatika sina wa ubani mie. Huenda yumo humu jamvini aliye mpweke kama mie, binti maridhawa, mpenda maendeleo, asiyezidi miaka 30, elimu angalau asiwe chini ya kidato cha nne, anayejituma katika kufanya kazi mvivu simtaki akha! Kupima Virusi vya UKIMWI muhimu tena asiwe macho juu penzi tamu atapata.
Uliye tayari nitumie PM.
Uliye tayari nitumie PM.