Mtu Poa 2013
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 117
- 85
Habari zenu wana JF, watengeneza filamu na wasanii wote mlioko humu jamvini. Mimi nina kampuni yangu ambayo inajishughulisha na graphic designing na visual effects. Kwanza kabisa kwa wale ambao hawafahamu ni nini visual effects, ni kwamba visual effects ama kwa kifupi VFX ni utundu unaoongezwa katika filamu, shoo ya television au video games kufanya iwe nzuri na inayovutia zaidi. Mara nyingi VFX inatumika katika wakati inapoonekana ni vigumu kutengeneza katika hali halisi au kwa bajeti ya fedha iliyopo. Mfano katika movies za star wars ambazo zinaelezea story za huko mwezini, katika hali ya kawaida ni vigumu kwa watengeneza filamu kwenda na kushutia movie mwezini kwa hiyo wanatumia utundu wa VFX kwa kompyuta kufanya scenes zilizoshutiwa studio ionekane kwamba ilishtiwa mwezini. Au kwa mtu ambaye hana bajeti au uwezo wa kuweka mlipuko wa bomu kwenye muvi yake kwa kuwa hana hela ya kuweza kulipua bomu katika hali ya kawaida, inabidi atumie utaalamu wa kompyuta kutengeneza bomu hilo. Mtu wa kawaida akiiangalia muvi hiyo atadhani ni kweli watengenezaji wa filamu ile walilipua bomu la kweli kumbe liliwekwa kwa kompyuta. Nadhani melezo haya yatakuwa yameeleweka.
Kampuni yangu tunatumia teknologia ya komputa CGI (Computer-generated Imagery) katika kufanikisha kazi hii ya VFX. Huduma tunazotoa ni kama zifuatazo;
Green screen Hii ni teknologia inayotumika kushuti mtu au kitu akiwa au kikiwa mbele ya kitambaa cha kijani (au wakati mwingine cha bluu) na kwa kutumia kompyuta kuondoa background ile na kuweka picha au video yoyote ile. Hiyo itafanya mtu au kitu kile kionekane kiko sehemu tofauti. Mfano: Greenscreen sample - YouTube
Set extension Hii ni namna ya kuongeza vitu kwa kutumia komputa ambavyo havikuwapo kwenye ile scene wakati wa kushuti. Ni kama Photoshop ila sasa hii ni kwenye video.
Trailer titles
Logo design
Gun effects Hii kwa kutumia kompyuta tunatengeneza effects katika scene ya filamu inayoshirikisha mapigano ya risasi. Kwa kuwa kupata silaha za kweli ni kazi nzito, badala yake tunatumia toy guns za plastiki na kuziongezea moto wa risasi na kufanya ionekane kama vile ilishutiwa kwa kutumia silaha za kweli za moto. Pia tunaweka mashimo ya risasi kwenye ukuta kwa kutumia kompyuta. Mfano: Gun fight sample - YouTube
Explosions Pia kutokana na kuwa ni ukweli uliowazi kwamba ni gharama kubwa sana kushuti filamu ikiwa na mlipuko wa bomu wakweli, sisi kwa kutumia teknologia hii tunatengeneza mlipuko wa bomu kwa ajili ya filamu yako. Mfano: Explosion sample 2 - YouTube au Explosion sample 1 - YouTube Mifano hiyo miwili ya gun effects na explosions nimetoa sample kutoka katika shot film niliyofanya na rafiki zangu.
Bei zetu;
Greenscreen Sh. 50,000 kwa shot moja
Set extension Sh. 100,000 kwa shot moja
Trailer titles Sh, 50,000 kwa trela nzima
Logo design Sh. 200,000 kwa logo
Gun effects Sh. 1,000,000 kwa scene moja
Mlipuko wa bomu Sh. 1,500,000 kwa bomu moja au lenye shots kadhaa. Mfano hilo bomu la gari hapo juu lina shots 4.
Kwa maswali, ushauri na mawasiliano, wasiliana nami kwa:
mediazetutz@gmail.com
+255718429151 au ni-pm tu.
Asante.
Kampuni yangu tunatumia teknologia ya komputa CGI (Computer-generated Imagery) katika kufanikisha kazi hii ya VFX. Huduma tunazotoa ni kama zifuatazo;
Green screen Hii ni teknologia inayotumika kushuti mtu au kitu akiwa au kikiwa mbele ya kitambaa cha kijani (au wakati mwingine cha bluu) na kwa kutumia kompyuta kuondoa background ile na kuweka picha au video yoyote ile. Hiyo itafanya mtu au kitu kile kionekane kiko sehemu tofauti. Mfano: Greenscreen sample - YouTube
Set extension Hii ni namna ya kuongeza vitu kwa kutumia komputa ambavyo havikuwapo kwenye ile scene wakati wa kushuti. Ni kama Photoshop ila sasa hii ni kwenye video.
Trailer titles
Logo design
Gun effects Hii kwa kutumia kompyuta tunatengeneza effects katika scene ya filamu inayoshirikisha mapigano ya risasi. Kwa kuwa kupata silaha za kweli ni kazi nzito, badala yake tunatumia toy guns za plastiki na kuziongezea moto wa risasi na kufanya ionekane kama vile ilishutiwa kwa kutumia silaha za kweli za moto. Pia tunaweka mashimo ya risasi kwenye ukuta kwa kutumia kompyuta. Mfano: Gun fight sample - YouTube
Explosions Pia kutokana na kuwa ni ukweli uliowazi kwamba ni gharama kubwa sana kushuti filamu ikiwa na mlipuko wa bomu wakweli, sisi kwa kutumia teknologia hii tunatengeneza mlipuko wa bomu kwa ajili ya filamu yako. Mfano: Explosion sample 2 - YouTube au Explosion sample 1 - YouTube Mifano hiyo miwili ya gun effects na explosions nimetoa sample kutoka katika shot film niliyofanya na rafiki zangu.
Bei zetu;
Greenscreen Sh. 50,000 kwa shot moja
Set extension Sh. 100,000 kwa shot moja
Trailer titles Sh, 50,000 kwa trela nzima
Logo design Sh. 200,000 kwa logo
Gun effects Sh. 1,000,000 kwa scene moja
Mlipuko wa bomu Sh. 1,500,000 kwa bomu moja au lenye shots kadhaa. Mfano hilo bomu la gari hapo juu lina shots 4.
Kwa maswali, ushauri na mawasiliano, wasiliana nami kwa:
mediazetutz@gmail.com
+255718429151 au ni-pm tu.
Asante.