Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,810
Habari wadau!
Wiki iliyopita nilikuwa natazama taarifa ya habari. Na miongoni mwa habari ilikuwa ni ya uzinduzi wa huduma za posta nadhani dodoma.
Mojawapo ya uzinduzi ilikuwa ni pamoja na upatikanaji wa huduma hizi kwa njia ya mtandao. Hivyo ina maanisha kwa sasa hauna haja ya kwenda ofisi za posta kujisajiri ili kupata sanduku la posta bali unachofanya ni kujisajiri kwa kutumia simu yako janja na kuweza kucontrol sanduku lako ukitumia simu yako.
Bado naendelea kujifunza maana ndio kwanza nimejiunga leo na sanduku hilo na sijalipia hata ada yake. Ila tu nilikuwa nataka kushare nanyi ili kwa wasiojua wajue na kutest mitambo na kwa wanaojua mtufahamishe juu ya changamoto na faida za mfumo huu mpya.
Wiki iliyopita nilikuwa natazama taarifa ya habari. Na miongoni mwa habari ilikuwa ni ya uzinduzi wa huduma za posta nadhani dodoma.
Mojawapo ya uzinduzi ilikuwa ni pamoja na upatikanaji wa huduma hizi kwa njia ya mtandao. Hivyo ina maanisha kwa sasa hauna haja ya kwenda ofisi za posta kujisajiri ili kupata sanduku la posta bali unachofanya ni kujisajiri kwa kutumia simu yako janja na kuweza kucontrol sanduku lako ukitumia simu yako.
Bado naendelea kujifunza maana ndio kwanza nimejiunga leo na sanduku hilo na sijalipia hata ada yake. Ila tu nilikuwa nataka kushare nanyi ili kwa wasiojua wajue na kutest mitambo na kwa wanaojua mtufahamishe juu ya changamoto na faida za mfumo huu mpya.