Huduma za mobile banking: Kukatwa hela bila kujali umepata huduma au haujapata si wizi?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Mimi naomba kuuliza kama ni sahihi kwa mtu ku-request huduma za kibenki kupitia simu ya mkononi(mobile banking) na kukatwa fedha kwenye simu yako bila kujali kama huduma uliomba umepata au hujapata.

Kwa mfano,unaweza kuuliza salio lililopo katika akaunti yako ya benki na ukiwa katikati ya process, mtandao ukakati lakini wao hela kwenye simu na kwenye akaunti wanakata bila kujali umepata huduma au laa.

Nachojiuliza jambo hili ni sahihi?

Huu sio wizi?

Kwanini system yao isikate hela baada ya mtu kupata huduma anayoihitaji?

kwakuwa wako huru kukata hela bila kujali umepata huduma au hujapata,hali hii haiwezi kuyafanya mabenki au kampuni za simu kutojali na hivyo kutoboresha huduma zao kwasababu hakuna wanachopoteza?

Kama hivi ndio vigezo na ndio mashariti yenyewe ya kuzingatia,je,wanatutendea haki wateja?

Nashauri mamlaka zinazohusika, iwe ni wizara ya fedha au Benki Kuu, kutazama upya swala la hili na ikiwezekana ziwekwe sheria,kanuni au taratbu zitakazodhibiti utoaji huu mbovu wa huduma kwa wateja na wakati huo huo wanawatoza watu fedha bila kujali wamekuhudumia au laa.
 
Ni wizi wa mchana kweupe. Hivi benki kwa kweli zimekosa kabisa ubunifu na kushuka chini kiasi hiki? Nimekaa nchi nyingi, sijawahi kupata benki ambayo inakata mteja pesa kwa kuuliza salio. Kuuliza salio ni huduma ya kawaida kabisa - tena kuuliza kwa simu ama ATM - kwa nini ukate pesa ya mteja? Huu ni wizi ambao Watanzania wameukubali kwa vile unafanywa na mabenki na siyo vibaka wa mtaani. Halafu wenyewe mwisho wa mwaka eti wanajipiga vifua eti wamepata faida.... Hebu fikiria Voda, Airtel, Tigo... nao wakukate pesa kwa kuuliza salio! Haitakuwa na tofauti ya NMB, CRDB, nk kukukata pesa kwa kuuliza salio.
 
Mimi naomba kuuliza kama ni sahihi kwa mtu ku-request huduma za kibenki kupitia simu ya mkononi(mobile banking) na kukatwa fedha kwenye simu yako bila kujali kama huduma uliomba umepata au hujapata.

Kwa mfano,unaweza kuuliza salio lililopo katika akaunti yako ya benki na ukiwa katikati ya process, mtandao ukakati lakini wao hela kwenye simu na kwenye akaunti wanakata bila kujali umepata huduma au laa.

Nachojiuliza jambo hili ni sahihi?

Huu sio wizi?

Kwanini system yao isikate hela baada ya mtu kupata huduma anayoihitaji?

kwakuwa wako huru kukata hela bila kujali umepata huduma au hujapata,hali hii haiwezi kuyafanya mabenki au kampuni za simu kutojali na hivyo kutoboresha huduma zao kwasababu hakuna wanachopoteza?

Kama hivi ndio vigezo na ndio mashariti yenyewe ya kuzingatia,je,wanatutendea haki wateja?

Nashauri mamlaka zinazohusika, iwe ni wizara ya fedha au Benki Kuu, kutazama upya swala la hili na ikiwezekana ziwekwe sheria,kanuni au taratbu zitakazodhibiti utoaji huu mbovu wa huduma kwa wateja na wakati huo huo wanawatoza watu fedha bila kujali wamekuhudumia au laa.
NMB Tanzania
 
Ni wizi wa mchana kweupe. Hivi benki kwa kweli zimekosa kabisa ubunifu na kushuka chini kiasi hiki. Nimekaa nchi nyingi, sijawahi kupata benki ambayo inakata mteja pesa kwa kuuliza salio. Kuuliza salio ni huduma ya kawaida kabisa - tena kuuliza kwa simu ama ATM - kwa nini ukate pesa ya mteja? Huu ni wizi ambao Watanzania wameukubali kwa vile unafanywa na mabenki na siyo vibaka wa mtaani. Halafu wenyewe mwisho wa mwaka eti wanajipiga vifua eti wamepata faida.... Hebu fikiria Voda, Airtel, Tigo... nao wakukate pesa kwa kuuliza salio! Haitakuwa na tofauti ya NMB, CRDB, nk kukukata pesa kwa kuuliza salio.
Na kwa kweli hapo kwenye kukata pesa kwa ajili ya mteja kuulizia salio watakuwa wanapata sana faida hasa kwenye tarehe za mwisho wa mwezi, sana sana kwa watumishi wa umma ambao kucheweshewa mshahara kwa siku moja uwaweka roho juu juu na hivyo kulazimika kuangalia salio lao kila saa na hasa hasa kwa wale ambao mishahara yao upitia NMB!
 
Mimi naomba kuuliza kama ni sahihi kwa mtu ku-request huduma za kibenki kupitia simu ya mkononi(mobile banking) na kukatwa fedha kwenye simu yako bila kujali kama huduma uliomba umepata au hujapata.

Kwa mfano,unaweza kuuliza salio lililopo katika akaunti yako ya benki na ukiwa katikati ya process, mtandao ukakati lakini wao hela kwenye simu na kwenye akaunti wanakata bila kujali umepata huduma au laa.

Nachojiuliza jambo hili ni sahihi?

Huu sio wizi?

Kwanini system yao isikate hela baada ya mtu kupata huduma anayoihitaji?

kwakuwa wako huru kukata hela bila kujali umepata huduma au hujapata,hali hii haiwezi kuyafanya mabenki au kampuni za simu kutojali na hivyo kutoboresha huduma zao kwasababu hakuna wanachopoteza?

Kama hivi ndio vigezo na ndio mashariti yenyewe ya kuzingatia,je,wanatutendea haki wateja?

Nashauri mamlaka zinazohusika, iwe ni wizara ya fedha au Benki Kuu, kutazama upya swala la hili na ikiwezekana ziwekwe sheria,kanuni au taratbu zitakazodhibiti utoaji huu mbovu wa huduma kwa wateja na wakati huo huo wanawatoza watu fedha bila kujali wamekuhudumia au laa.
Siku moja moja unamichango yenye Akili na Yenye Nguvu
Poa
Huo ni wizi na nikero sana
 
Ata ikitokea muamala ukarudishwa ..wenyewe wanakuwa wameshakata chao
 
Ni wizi wa mchana kweupe. Hivi benki kwa kweli zimekosa kabisa ubunifu na kushuka chini kiasi hiki? Nimekaa nchi nyingi, sijawahi kupata benki ambayo inakata mteja pesa kwa kuuliza salio. Kuuliza salio ni huduma ya kawaida kabisa - tena kuuliza kwa simu ama ATM - kwa nini ukate pesa ya mteja? Huu ni wizi ambao Watanzania wameukubali kwa vile unafanywa na mabenki na siyo vibaka wa mtaani. Halafu wenyewe mwisho wa mwaka eti wanajipiga vifua eti wamepata faida.... Hebu fikiria Voda, Airtel, Tigo... nao wakukate pesa kwa kuuliza salio! Haitakuwa na tofauti ya NMB, CRDB, nk kukukata pesa kwa kuuliza salio.
Benki zetu njama moja na sirikali.
Sirikali inachelewesha pension kwenye account yako miezi 9.

Muda wote huo unauliza salio unakatwa fedha kidogo iliyobaki mpaka iishe, na kama wakiimaliza hujaingiziwa pension wanakuwekea 'minus' kusubiri ulipwe, wakukate service charges za kuuliza salio.

Serikali ikilipa inalipa pension ya miezi 3 tu! Hiyo sita iliyobaki imekula kwenu, hamna areas!

Benki wanakula na wewe hiyo iliyolipwa mpaka iishe. Wewe unashanga, wao wanaipa Serikali 'gawio'.
Mzunguko unaendelea hadi unajifia kwa BP au njaa.
 
Back
Top Bottom