Hahahahahaaaaa nakubaliana na weee, juzi nilionyeshwa huo unga, aiseee Yaani ni kiduchu kweli jamaa anauza buku mbili. Nilitamani kupiga picha jamaa akamaind. Polisi nimewapigia weee hadi mkubwa wao lakini Mmmghhh
Mkuu utakuta mtu siku 3 tayari anamiliki gari hapa tz yapo mawili tu, ana nyumba tano na makorokoro kibao, ukiuliza kazi yake utakuta ana saloon na kiduka cha nguo tu......
nshakujua kwa mwandiko wako....
Hebu nitupie namba hiyo ya Jack. Kuna mmoja mkali pia yuko Kimara Baruti anafanya kama huyo, ngoja nimtupie namba jamaa wajuane.
Mkuu Superstar 1, umesema kweli kabisa!, hata mimi niliwahi kuisema hii kitu humu, Opinion: Is It Not, Its High Time, Tanzania Tuhalalishe....Habari wadau?
Kwa kifupi ni kwamba biashara ya wakina dada kujiuza kwa sasa imeshamiri karibu kila kona ya nchi na kati ya wateja ni viongozi wa serikali na wengine wengi hata waliopo kwenye dolla. Ni wakati muafaka kabisa kwa serikali kuihalalisha kwa sababu pamoja na kuifanya illegal bado inashamiri kuliko biashara nyingi sana ambazo wakina dada/mama wanazifanya. Nchi kadhaa za Afrika wameamua kuruhusu baada ya kuona kuwa wanapoteza mapato mengi sana kwa kujaribu kuikwepa.
Nakaribisha maoni (na matusi kwa wale waliosomea). Sijali.
PWanabodi,
Takwimu za kidunia, zimethibitisha, biashara kubwa kabisa duniani kuliko biashara zote, na ajira kubwa kabisa duniani kuliko ajira zote, iliyo ajiri watu wengi zaidi kuliko katika ajira nyingine zozote, ni ajira ya utumishi wa kuhudumu katika biashara ya "The Oldest Professional" ambayo pia ndio biashara ya kwanza kabisa kufanywa na binadamu mara tuu baada ya kuumbwa kwa ulimwengu ambapo mama yetu wa kwanza, aliifanya in an exchange ya kuonjeshwa lile "tunda!.".
Jee hamuoni it's about time sasa Tanzania tuihalalishe rasmi hii biashara ili iwe ni kazi halali na biashara halali, wahusika walipe kodi na kuchangia pato la taifa?!.
Ili angalau hawa wanawake milioni mbili extra, wapate haki yao kama wengine wenye bahati zao kuolewa, na ni katika kupata haki hiyo, hapo hapo hujikuta pia wameingiza kipato halali kwa jasho lao! na serikali kupata kodi!.
Paskali
Unapaswa uende sokoni, uchague bidhaa ile kitu macho imependa!, kisha ufanye test drive, ujiridhishe na services!, then chukua number ya simu, bidhaa hiyo ndio inakuwa "call off order yako!".PS: KUNA MTU YEYOTE ANA NAMBA YA DADA POA AMBAYE ANATOA HUDUMA KWA KUKUFUATA ULIPO? NAOMBA PLEASE!!!
Kalaghabao wee sijui uko dunia ya ngapi?condom hazizuii maambukizi ya vvu.Condom zinazuia magonjwa mengine ya ngono,mimba pia ila si vvu.Condoms zote zina vitobo vidogovidogo ambavyo ni ukubwa wa 1.5 na kirusi cha ukimwi kina ukubwa wa 0.5. Ukisurvive gonjwa na huku mzururaj shukuru rehema za Mungu si useme kondom umekusaidia.Tafuta mpenzi mmoja mwaminifu.Mshirikishe Mungu kama ni unaamin katika Mungu.Okay bye
Hahahahahaaaaa nakubaliana na weee, juzi nilionyeshwa huo unga, aiseee Yaani ni kiduchu kweli jamaa anauza buku mbili. Nilitamani kupiga picha jamaa akamaind. Polisi nimewapigia weee hadi mkubwa wao lakini Mmmghhh
dah aisee na mimi naomba namba yakeDah ngoja nikutumie kwenye Pm kama uko serious ila yeye unalipia chumba kwanza kama utatumia chumba chake, amepanga Guest moja nzuri tu maeneo ya Mabibo. Yuko vizuri kwa kweli ila huwa akilewa anafanya mambo ya kijinga kidogo. Anaitwa Jack
Ngoja nipitie hesabu
kwanza za mchepuko wa kitaa unaeamini uko mwenyewe na changu anaejiuza.
Ukitaka kutoka na mtoto wa kitaa-chumba 30,000/
Kunywa pamoja na msosi gharama ya chini sana 40,000/
Kabla hamjatoka hela ya saloon 30,000/bado vocha,
Uchakavu na nauli ya kumrudisha 40,000/.
Jumla 140,000/,hizi ni gharama za kawaida tu.
Changu anaejiuza,chapchap 10,000/au 15,000/ no expenses za chakula wala
kinywaji,sex ni mahala popote kwenye gari,hata porini.
Usiku kucha 30,000/ mpaka 50,000/kufuatana na quality yake no other
expenses na mkimalizana no kutafutana business kwishneh,nilisahau vibomu
vya mara kwa mara vya michepuko ya kitaa,oh vocha mara nna hamu na
chips yani shida tupu,changu unakwenda kusex ukiwa umejiandaa na
vifaa,mtaani unajiaminisha uko peke yako matokeo yake mnayajua.
Me simo nikijiskia navuta changu tunamalizana kisela no
kujuanajuana.
Please wait....the system is downloading some data......Habari wadau? Kwa kifupi ni kwamba biashara ya wakina dada kujiuza kwa sasa imeshamiri karibu kila kona ya nchi na kati ya wateja ni viongozi wa serikali na wengine wengi hata waliopo kwenye dolla. Ni wakati muafaka kabisa kwa serikali kuihalalisha kwa sababu pamoja na kuifanya illegal bado inashamiri kuliko biashara nyingi sana ambazo wakina dada/mama wanazifanya. Nchi kadhaa za Afrika wameamua kuruhusu baada ya kuona kuwa wanapoteza mapato mengi sana kwa kujaribu kuikwepa. Hebu fikiria kidogo. Niliongea na dada mmoja (pale Sinza). Amepanga chumba guest house analipa sh.20,000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 600,000. Kwa siku anapata wateja kati ya 3-8 wa short time ambao wanamlipa kati ya 10,000 mpaka 30,000 kutegemea na ushamba wa mteja (maneno yake). Akipata wa usiku wote ni 50,000-100,000. Sasa kama angelipa 30% as tax unaweza ona kwa kiasi gani serikali ingepata hela.
Jingine ni kwamba huduma wanayotoa inahitajika, ukikaa pale utaona watu wanavyofurika kuchukua wadada poa. Kila dakika kuna mtu anaingia au gari inaondoka na mmoja.
Ishu yangu sasa ni hii. Kama biashara hii ingeruhusiwa kungekuwa na huduma za call girls kibao, wengine tusingepata tabu ya kutafuta walipo. Tungepiga simu tu unaletewa mzigo mpaka unapotaka. Faida yake ni kwamba, kwanza kasi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ingepungua!! Hawa mademu wa mtaani tunaofikiri ni decent ndio wanaotuua, kwa sababu anakuwa na wanaume kadhaa na sisi kwa kufikiri uko pekee, mkishakutana mara tatu nne unaacha kutumia kinga. (Wengi watajifanya hawajui ninachosema hapa lakini mioyo yao inawasuta). Pili hawa mademu wa mtaani tunaowafanya wa kudumu ni very expensive kuwa-maintain, yet one day anakusaliti!!! Siwataki kabisa na nimeamua rasmi nikisikia muhemuko nachukua changudoa. (Wawili wamenilet down vibaya!! wa kwanza alishika mimba nikalea mpaka akajifungua miaka miwili baadae nikagundua mimba nilipakaziwa. wa pili nimedumu nae miaka minne sasa na yeye hivohivo - nitawapa story zao baada ya hili, yaani kama movie)
Nakaribisha maoni (na matusi kwa wale waliosomea). Sijali.