Huduma ya WHATSAPP inalipwa wapi tafadhali????

Howt Lady

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2013
Posts
1,518
Reaction score
471
Habari zenyu wakubwa!!

Samahani.....kwa anaye fahamu anijuze hii huduma ya WHATSAPP inalipwa wapi??????

Wamenifungia hii huduma mpaka niilipie,,,,,ni wapi niende nikalipie,,??nifahamisheni tafadhali!!
 
Kwa yoyote anaefahamu tafadhali anifahamishe

Ni wapi nikalipie hii huduma ya WHATSAPP?????
 
Install thats how we do tangu enzi
 
Hiyo hailipiwi bali inakuwa ime-Expire, hivyo unachotakiwa kufanya ni ku-Download upya katika simu yako kwenye Google. Ni hayo tu.
 
Hiyo hailipiwi bali inakuwa ime-Expire, hivyo unachotakiwa kufanya ni ku-Download upya katika simu yako kwenye Google. Ni hayo tu.

Ahsante mkuu ila kila niki instal inanitumia text kua napaswa kulipia $0.99
 
Kila nikijaribu kuinstal inanipa text kua natakiwa nilipie $0.99

Mwenye ufahamu juu ya hili tafadhali
 
+27782636207 ukipiga hiyo ndio namba yao ya customer care
 
fanya kufuta ya mwanzao afu tafuta nyingine kwenye google, sawa@howt lady
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…