Huduma ya Meno bandia inapatikana wapi?

Huduma ya Meno bandia inapatikana wapi?

Anapatikana mission njia ya kwenda mbagala, mwanzoni alikuwa anatoa huduma pale kipati jirani na Saba saba kwa mpili. Anaitwa doctor Moses
Namba zake naweza kukupatia ukihitaji.
Ok Thanks! Noamba unisaidie hizo namba zake
 
Nilifanikiwa kuongea na Dr. naenda this weekend coz mtoto alikuwa shule so amerudi ndio nimpleke
Sawa kila la kheri ktk matibabu yako. Mrejesho kama hivi unakuwa bora kwa wahitaji wengine.
 
Binafsi nahitaji huduma ya meno bandia lakini mtoto anahitaji huduma ya braces, so nataka nianze na mtoto kwanza
Vp ulifanikiwa kupata huduma? wengine tunahitaji huduma.
 
Back
Top Bottom