Prince mrema
Member
- Oct 11, 2017
- 61
- 71
Habari wakuu,
Huduma ya meno bandia inapatkana wapi? Na vipi kuhusu gharama zake kwa meno ya mbele?
Huduma ya meno bandia inapatkana wapi? Na vipi kuhusu gharama zake kwa meno ya mbele?
Baa inaitwaje mkuuKama upo dar..wilaya ya Temeke nenda pile Kuna hospital Nyumba ya 3 baada ya pile bar.
Kuhusu Bei sikumbuki kwa kweli maana my Mum aliwekaga muda Sana.
Naomba namba yake bc mkuuKuna kituo kinaitwa saba saba kwa mpili, pale kuna huduma hiyo huyo doctor mpaka namba zake ninazo.
Gharama zake tangu nimfahamu hajawahi fikisha laki moja labda kama umepoteza meno ya kinywa kizima
Baa inaitwa pile..au ukishuka pile ulizia kwa daktari wa meno anaitwa dokta nkwera.Baa inaitwaje mkuu
Habari wakuu. Huduma ya meno bandia inapatkana wapi? Na vipi kuhusu gharama zake kwa meno ya mbele?
Aa wp wwMkuu kumbe wewe ni "KADINALI"?
Naomba namba yakeKuna kituo kinaitwa saba saba kwa mpili, pale kuna huduma hiyo huyo doctor mpaka namba zake ninazo. Gharama zake tangu nimfahamu hajawahi fikisha laki moja labda kama umepoteza meno ya kinywa kizima.
Nenda Muhimbili ila sipale pale mwanzo Dental School bali kule mwisho Jengo la OPD kuna jamaa mmoja aitwa Dr Kessy yupo vizuri kwenye hiloHabari wakuu,
Huduma ya meno bandia inapatkana wapi? Na vipi kuhusu gharama zake kwa meno ya mbele?
Kweli kabisa lakini afya ndio kila kitu. Lakini nimesema hajawahi kuvuka lakiLaki siyo pesa ndogo awamu hii
Nashkuru sana mkuu nilishafanikiwa nilienda apo apo uliponambiaKuna kituo kinaitwa saba saba kwa mpili, pale kuna huduma hiyo huyo doctor mpaka namba zake ninazo. Gharama zake tangu nimfahamu hajawahi fikisha laki moja labda kama umepoteza meno ya kinywa kizima.
Nashkuru sana mkuu nilishafanikiwa nilienda apo apo uliponambia
Ahsante kwa taarifa, vipi huduma zakeNashkuru sana mkuu nilishafanikiwa nilienda apo apo uliponambia
Naomba unielekeze na mimi, ni wap?Nashkuru sana mkuu nilishafanikiwa nilienda apo apo uliponambia
Ahsante kwa taarifa, vipi huduma zake
Maelekezo ya anapopatikana nimeyaweka hapo juu namba zake njoo uchukue PMMkuu tuelekeze hapa au tunaomba namba zake za simu tumtafute wenyeshida hapa ni wengi
Naomba unielekeze na mimi, ni wap?