Ni kweli mkuu juzi kati nilikua na safari ya mwanza mbeya nilikata ticket ya gari ya chakaby, kumbe siku hiyo gari haikuwepo agent alipo gundua akainipigia cm kuni taarifu na semahanini nyingi,nikakubali kinyonge aka shauli nipande allisy nilijuta nika apa kusafiri na allisy tena sijui.