Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 319
- 205
Wakuu,
Naombeni msaada kuhusu hiyo simu bei yake na ubora wake kwa ujumla, nimeambiwa ni double line lakini mimi nijuavyo huawei original huwa ni single line sasa sijui kuhusu hii simu.
Naombeni msaada kuhusu hiyo simu bei yake na ubora wake kwa ujumla, nimeambiwa ni double line lakini mimi nijuavyo huawei original huwa ni single line sasa sijui kuhusu hii simu.