PSPA Pure'12 udsm
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 834
- 450
Kwa yeyote anaeuza simu tajwa hapo juu used lakini ikiwa katika hali nzuri naihitaji.
Kuna watu wana hujuma sana,mnaweka battery mbovu, memory card mnatoa cover na screen protector ndo mnauza utafikiri tunakomoana wakati unapewa hela. Acheni hizo,be fair.
Mi nataka used, najua dukani inauzwa 19500/= tu. Bei ni makubaliano kutokana na muonekano wa simu.
Mwenye nayo anicheck,nipo Dar!
0718257680
Kuna watu wana hujuma sana,mnaweka battery mbovu, memory card mnatoa cover na screen protector ndo mnauza utafikiri tunakomoana wakati unapewa hela. Acheni hizo,be fair.
Mi nataka used, najua dukani inauzwa 19500/= tu. Bei ni makubaliano kutokana na muonekano wa simu.
Mwenye nayo anicheck,nipo Dar!
0718257680