kowaski JF-Expert Member Joined Apr 21, 2015 Posts 585 Reaction score 551 Apr 24, 2015 #1 Inakuwaje wadau,,,,my huawei y 300 muda mwingne touch yake inagoma kufanya kaz mwenye ushauri wowote kuhusu ilo tafadhali .....
Inakuwaje wadau,,,,my huawei y 300 muda mwingne touch yake inagoma kufanya kaz mwenye ushauri wowote kuhusu ilo tafadhali .....
Kibishi JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 1,139 Reaction score 1,039 Apr 24, 2015 #2 Buy Huawei Y550: Available at Lowest Price in Tanzania
Charlie_Data_Analyst_GIS Senior Member Joined Jul 15, 2013 Posts 122 Reaction score 50 Apr 24, 2015 #3 Wanajamvi mwenye samsung S2 ambayo haijatumika sana ni pm tuongee bzynex
mjukuu.combomba Member Joined Mar 22, 2015 Posts 12 Reaction score 0 Apr 24, 2015 #4 Hiyo huawei jaribu kupunguza file zisizokua na umuhimu wwte
kowaski JF-Expert Member Joined Apr 21, 2015 Posts 585 Reaction score 551 Apr 24, 2015 Thread starter #5 Poa mkuu nitajaribu nione
arafa255 Senior Member Joined Mar 3, 2015 Posts 118 Reaction score 55 Apr 25, 2015 #6 fredkowaski said: Inakuwaje wadau,,,,my huawei y 300 muda mwingne touch yake inagoma kufanya kaz mwenye ushauri wowote kuhusu ilo tafadhali ..... Click to expand... reset tu. ikiendelea uza kabla haijafia mkononi
fredkowaski said: Inakuwaje wadau,,,,my huawei y 300 muda mwingne touch yake inagoma kufanya kaz mwenye ushauri wowote kuhusu ilo tafadhali ..... Click to expand... reset tu. ikiendelea uza kabla haijafia mkononi
kowaski JF-Expert Member Joined Apr 21, 2015 Posts 585 Reaction score 551 Apr 25, 2015 Thread starter #7 Hahahahah umenena mkuu