Adolph
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 895
- 346
Wakuu nina huawei p6 ambayo inagoma kumalizia kuwaka....yani inawaka hadi ikifika kwenye logo ya huawei ndo inaishia hapo hadi chaji inaisha...
Nimejaribu kuireset imegoma...nimejaribu kui update kwa SD card imegoma...naomba msaada anayejua tatizo litakua wapi au wapi zilipo ofc za huawei niiipeleke...nipo dar
Nimejaribu kuireset imegoma...nimejaribu kui update kwa SD card imegoma...naomba msaada anayejua tatizo litakua wapi au wapi zilipo ofc za huawei niiipeleke...nipo dar