huawei modem model E 1550 haionekani baada ya ku unlock, nifanyeje?

huawei modem model E 1550 haionekani baada ya ku unlock, nifanyeje?

Mwana wa Nuru

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
590
Reaction score
415
kwa anayefahamu cha kufanya naomba aniambie nini nifanye ili modem yangu (huawei, E 1550)ifanye kazi tena maana haionekani tena kwenye komputa siku chache baada ya kui unlock.Asante.
 
Nenda unistall setup yake!afu fanya installation upya!!
 
Baada ya ku uninstall setup yake,imegoma kuinstall upya, kuna kingine cha kufanya?Asante.
 
Back
Top Bottom