Ndugu wadau wote,
Mimi na mpango wa kufungua kampuni ya Human Resources (HR) Consultancy hapa Tanzania.Itashugulika na mambo ya Training,recruitment,placement,organization development na mengine kama hayo.Nataka iwe based Dar-es-salaam na Mwanza.
Je wadau biashara hii inalipa?
Kuna mtu yoyote anaewea kuwa partner katika biashara hii?
Je capital ya kuanzia ianabidi iwe kama Tsh ngapi?
Naomba ushauri na uzoefu kutoka kwa mtu yoyote.
asante.
Mimi na mpango wa kufungua kampuni ya Human Resources (HR) Consultancy hapa Tanzania.Itashugulika na mambo ya Training,recruitment,placement,organization development na mengine kama hayo.Nataka iwe based Dar-es-salaam na Mwanza.
Je wadau biashara hii inalipa?
Kuna mtu yoyote anaewea kuwa partner katika biashara hii?
Je capital ya kuanzia ianabidi iwe kama Tsh ngapi?
Naomba ushauri na uzoefu kutoka kwa mtu yoyote.
asante.