1.Huyu jamaa ni member mwenye kisebengo kuliko wote humu Jf
2.mada zake ni za kitoto hazina mantinki
3. Anapenda sifa kama harmorapa na nahisi ni ndugu take
Ushauri nirkuwa naomba kwa wale staff members wafanyepango huyu jamaa arudishwe Facebook anatutia aibu humu