TMAN8
Senior Member
- May 25, 2012
- 165
- 41
hiyo inawezekana kwa kufanyia reflow, tatizo ni kwamba huwa si solution ya kudumu, itaenda baada ya muda itazingua tena, itabidi ufanye tena reflow, so itakuwa kama routinehata yangu imekata display toka mwezi wa 5 mpaka wa leo sijapata solution ya tatizo langu ila jamaa kanena neno limeniingia kikweli kweli