Asante kwa taarifa Hii, nimeishapata replacement 👍Mkuu nina HP pavilion 360 Core7 10th Generation.
Touch screen, graphic and gaming computer, karibu PM
Asante sana mkuu, nitamtafuta angalau nikipata mtu anayehitaji. Nimeishapata mdau 🙏Mtafute ubepari pc - Insta.
Utashindwa wewe mkuu.
Nathamini ushirikiano wako na kuwa tayari ku-share taarifa muhimu. Nimepata mtu wa kurekebisha mashine inafanya kazi. However nitautunza uzi huu kwa wakati ujao 🙏Mchek huyu atakusaidia mkuu 0682202114