Mkuu kununua howo brand new au scania used P or R Series bora nini? Scania nakusudia zile 2005 to 2010 model?Kwa nini Chinese trucks hawana genuine parts hata moja, gari zao zikishamaliza 5-7 years, mara utakapotaka ku overhaul elewa utadumu nayo miezi 6 tu, itakufa.
Hizo story mnapiga ambao hamna hata howo moja, genuine parts zipoKwa nini Chinese trucks hawana genuine parts hata moja, gari zao zikishamaliza 5-7 years, mara utakapotaka ku overhaul elewa utadumu nayo miezi 6 tu, itakufa.
Mkuu nina tippers shacman zinanichezesha mziki huo!ispokuwa yupo fundi alishauri kufunga engine za howo 618.Hizo story mnapiga ambao hamna hata howo moja, genuine parts zipo
Hizo story mnapiga ambao hamna hata howo moja, genuine parts zipo
Gari ya kichina ni nzuri ikiwa mpya tu, ikichoka haifai hata kidogo. Halafu kingine hazitunzi thamani yake, hiyo howo hapo juu unaweza kukuta hata million km hajiafika na haina hata miaka 10Kwa nini Chinese trucks hawana genuine parts hata moja, gari zao zikishamaliza 5-7 years, mara utakapotaka ku overhaul elewa utadumu nayo miezi 6 tu, itakufa.
Overhaul zinafanyika mkuu, usiskilize story za mitaani.Bado sijaona Chinese truck inayokubali overhaul!! Hata ufunge genuine parts.
Naomba namba ya fundi wa kuni guarantee itakuwa na uzima kwa miaka 3,baada ya overhaul.Overhaul zinafanyika mkuu, usiskilize story za mitaani.
Maswala ya ufundi unataka guarantee mzee..?Naomba namba ya fundi wa kuni guarantee itakuwa na uzima kwa miaka 3,baada ya overhaul.
Kwani mkuu unaona howo ni nini kwani hadi unajimilikisha wewe hayo ma howo? Mtu ametoa hoja mpe fundi afanye overhaul apate gerentii..kwanini unaogopa na umesema zinakaa muda mrefu baada ya overhaul??Maswala ya ufundi unataka guarantee mzee..?
Are you mentally stable kweli..?
Ndo maana nasema mnaopiga kelele za hakuna nini sijui nini kwenye Howo, wengi wenu hamna hata Howo moja, kazi kelele tu
Kama ni mtu wa logistics na ushawahi kaa na Trucks regarldess ya Brand lazima uelewe kwamba hakuna ufundi wenye guarantee mzee. Guarantee ni ya kitu kipya tu. Mambo mengine huwezi kuyasema kama upo kwenye industry, mnafanya tuone kama mnatusanifu vile.Kwani mkuu unaona howo ni nini kwani hadi unajimilikisha wewe hayo ma howo? Mtu ametoa hoja mpe fundi afanye overall apate gerentii..kwanini unaogopa na umesema zinakaa muda mrefu baada ya overall??
Sio kweli, wapo wafundi wanabahatisha na wapo wafundi wanakupa gerentii kwa aina flani ya ufundi. Kwasababu hapa issue ni overhaul sasa inawezekana yeye hajakutana na mafundi wazuri hajapata spare genuine ndio maana kaja na conclusion hiyo, sasa kama una idea tofauti tuletee na sio kutunanga . Binafsi nimeshamiliki malori ingawa kipndi flani niliacha nataka nirejee tena ulongoni. Sio kila kitu unabisha au kudhani kwamba ni wewe tu ndio unajua mambo ya magari. Mimi binafsi sijawahi kumiliki gari za kichina ndio maana nimeuzla mdau hapo kati ya hizi scania used tulizozieza na brand new Chinese trucks bkra nini.Kama ni mtu wa logistics na ushawahi kaa na Trucks regarldess ya Brand lazima uelewe kwamba hakuna ufundi wenye guarantee mzee. Guarantee ni ya kitu kipya tu. Mambo mengine huwezi kuyasema kama upo kwenye industry, mnafanya tuone kama mnatusanifu vile.
Miaka 3 mbali sana, muombe akupe guarantee ya km 30000 tu baada ya overhaul.Naomba namba ya fundi wa kuni guarantee itakuwa na uzima kwa miaka 3,baada ya overhaul.