Duu kweli kupenda kuna mambo..!
Yule mtu atamalizia machungu yake ya Man U kufungwa na Madrid Kwenye Mabingwa...huyo ni Mchezaji Mtiifu wa Man U...
Yote kwa Yote iHalaMadrid!!TUTASHINDA
Sent from BlackBerry
goli nyingi hizo hana cha kuongea pale ni german sio maneno pale ni kazi sio manenoWaspain hawampendi Webb na wameponda uteuzi wake lakini cha ajabu Mourinho na Ronaldo wamemsifu Webb.
Mimi kama mshabiki wa Real Madrid nadhani we couldn't ask for a better a referee zaidi yake. Kwanza atakua anataka kuprove something kwa Waspain, halafu cheap decisions kama ile penalty ya Lewandosky hutaziona ila mwisho wa siku is not about the referee, ni wachezaji ndio watakaoamua matokeo, nidhamu yao, kujituma, kujitoa kupambana bila kukata tamaa and of course a bit of lucky.
Hala Madrid!
mh.!!!! watu mna roho ngumu.!
mkuu Webb alichezesha fainali ya kombe la dunia 2010 alionyesha zaidi ya kadi za njano 12,zaidi ya kadi 7 alionyesha upande wa holand. Mechi ile ya fainal ni 1 kati ya mechi zilizokuwa na maamuzi mabovu katika FIFÂ 2010. Webb ni mtu wa filimbi sana. Webb kwa kuwa ni mwingereza mnamwona kama bonge la mwamuzi, ila jamaa hamna ki2. Promo tu kama kawaida yaoalichezesha WORLD CUP FINAL na CHAMPIONS LEAGUE FINAL.....why???because he is EXCELLENT....otherwise hata EUFA na FIFA nao ni man utd!!!?kama anapendelea kiasi cha amateurs huku mitaani kuona FIFA au EUFA wangeliona hilo wasingemchagua kuchezesha mechi zao kubwa kuliko zote.......
Katambike kwa mizumu ya kwenu. Madrid OUTTTTTT!!!!!Dah wammepeleka m23 tutarajie nini loh
alichezesha WORLD CUP FINAL na CHAMPIONS LEAGUE FINAL.....why???because he is EXCELLENT....otherwise hata EUFA na FIFA nao ni man utd!!!?kama anapendelea kiasi cha amateurs huku mitaani kuona FIFA au EUFA wangeliona hilo wasingemchagua kuchezesha mechi zao kubwa kuliko zote.......
una uhakika na unachoonga?Kushinda mnaweza.... Hata mkipata 5 dortmund akipata 4 mtakuwa mmeshinda lakini mmetoka tu. Madrid bye bye.... Barca nao bye bye.... Tatizo wa spain washazoea sleak football, hawawezi kupambana physical, sasa wamekutana na watu physical wako fiti na mental wako fiti....... I Hala Germans!! Hitlers lolz!
Kesho naona FC Barcelona 6 Bayern Munich 1Matokeo leo ni real 5 dortmund 1
una uhakika na unachoonga?
kweli tumuache,ila amini usiamini kuanzia kesho hadi keshokutwa mimi nina uhakika matusi,kashfa na dharau zitapungua humu,kutakuwa kimya.Anajua nini huyo? Soma alichoandika ndio utajua kichwa chake kimejaa uji wa dengu. Eti "hala German",