Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,804
John alikuwa na hisia za mapenzi kwa binti
mmoja siku nyingi sana. Lakini hakuweza
kujieleza.
Siku moja akajikakamua kumuandikia binti
message "I love U so much!, Tafadhali nijibu
hisia zako". Baada ya muda mchache simu yake iliingia
msg nguvu zilimuisha kwa kutaka kujua binti
kajibu nini... akaamua kulala asome msg siku
inayofatia labda angepata ujasiri wa kuifungua
message.
Siku iliyofuata jamaa akaamka mapema
akafagia uwanja, akafanya usafi nyumba nzima
na kazi zote mpaka watu wakamshangaa,
mwishowe akaoga na kupata muda wa
kupumzika na kujitupa kitandani kwa shauku
ili aisome msg aliyojibiwa, kufungua msg
akakuta................................
"Hauna salio la kutosha kutumia huduma hii,
bonyeza *149*22# kupata Tigo niwezeshe.
TIGO EXPRESS YOURSELF
Kama ndo wewe ungejiambiaje/Ungewaambiaje tigo???
mmoja siku nyingi sana. Lakini hakuweza
kujieleza.
Siku moja akajikakamua kumuandikia binti
message "I love U so much!, Tafadhali nijibu
hisia zako". Baada ya muda mchache simu yake iliingia
msg nguvu zilimuisha kwa kutaka kujua binti
kajibu nini... akaamua kulala asome msg siku
inayofatia labda angepata ujasiri wa kuifungua
message.
Siku iliyofuata jamaa akaamka mapema
akafagia uwanja, akafanya usafi nyumba nzima
na kazi zote mpaka watu wakamshangaa,
mwishowe akaoga na kupata muda wa
kupumzika na kujitupa kitandani kwa shauku
ili aisome msg aliyojibiwa, kufungua msg
akakuta................................
"Hauna salio la kutosha kutumia huduma hii,
bonyeza *149*22# kupata Tigo niwezeshe.
TIGO EXPRESS YOURSELF
Kama ndo wewe ungejiambiaje/Ungewaambiaje tigo???