Wala usiogope huyo haelewi anachoongea kwasababu kutokana na torrent technology inavyofanya kazi ni vigumu kukukamata kwasababu unacho download siyo file la muziki au movie bali torrent (kijipande cha file ambacho ni encrypeted). Kama unadownload p2p sawa lakini kama unatumia bitorrent network wala usiogope kwasababu hiyo siyo centralized system.
Hivi vi-torrent ni vi-millioni vya vipande vya mafaili ambapo ukishavimaliza kuvi-download hiyo bittorrent client inachofanya ni kuviunganisha programatically. Hata ISP hawawezi jua umedownload nini kwahiyo usiwe na shaka labda kama shaniqua ((( LOL )) kaamua kukuchomea la sivyo mambo shega tuu.
Torrents ndo njia rahisi kuliko zote kukamatwa, ukiwa unatumia torrent lazima IP yako iwe public, na file unazodownload na kushare lazima ziwe public, encryption haitakusaidia. Watu wengi sana wameshitakiwa Marekani. 20,000 BitTorrent Users Sued in One Lawsuit
.
Ukiwa nje ya US sidhani kama kuna tatizo. Sisi tulioko huku ndio noma
Mkuu unachofanya hapa ni kucheza na lugha tu, kusema unaupload/download kijipande cha file na si copyrighted material, lakini mwisho wa yote unadownload hivyo vijipande ili iweje kama sio kupata full copyrighted material? kwani sheria inaruhusu kuiba vijipande pande kisha uviunge kupata kitu kamili.Kuwa subpoena na ku-broadcast ip issue kabisa sheria ya hatimiliki za state/federali zinakataza kusambaza kazi ya mtu/kampuni bila kibali (video, audio, transcript n.k ) lakini unapo download/upload (seeding/leeching) kwenye bittorrent network huwa unadownload/upload kijipande cha file ambacho siyo copyrighted.
Ndiyo maana mara nyingi huwa wana watarget site owner na siyo users na ni majuzi tuu (kutokana na ugumu wa kuwabana users) wakaamua kuwa-target ISP ili wa block torrent sites. Hata hivyo ni vigumu kuwabana site owner kwasababu wao hawa host copyrighted files. Kama wakiweka hiyo sheria basi hata google itakuwa ni illegal site kwasababu wanachokifanya ni kile kile wanachofanya torrent search engines.
Sababu ya Shawn Fanning (napter faounder) kushindwa kesi kipindi kile ni kwasababu tekinolojia yake ilikuwa centralized. Ilikuwa kabla ya kudownload lazima u-query server ya Shawn halafu yenyewe ndo inaku-redirect kwenye computer yenye file kamili (copyrighted material) sasa bittorrent ni tofauti kabisa ambapo haudownload file zima.
Kuwa subpoena na ku-broadcast ip issue kabisa sheria ya hatimiliki za state/federali zinakataza kusambaza kazi ya mtu/kampuni bila kibali (video, audio, transcript n.k ) lakini unapo download/upload (seeding/leeching) kwenye bittorrent network huwa unadownload/upload kijipande cha file ambacho siyo copyrighted.
Ndiyo maana mara nyingi huwa wana watarget site owner na siyo users na ni majuzi tuu (kutokana na ugumu wa kuwabana users) wakaamua kuwa-target ISP ili wa block torrent sites. Hata hivyo ni vigumu kuwabana site owner kwasababu wao hawa host copyrighted files. Kama wakiweka hiyo sheria basi hata google itakuwa ni illegal site kwasababu wanachokifanya ni kile kile wanachofanya torrent search engines.
Sababu ya Shawn Fanning (napter faounder) kushindwa kesi kipindi kile ni kwasababu tekinolojia yake ilikuwa centralized. Ilikuwa kabla ya kudownload lazima u-query server ya Shawn halafu yenyewe ndo inaku-redirect kwenye computer yenye file kamili (copyrighted material) sasa bittorrent ni tofauti kabisa ambapo haudownload file zima.
Asante kwa maekezo hayo murua.Nikidownload nitakuwa kidownload nikijua wazi at my own risk.Are u jokin'? sasa ni nani atengeze muvi ya up to $50 mil halafu aweke online watu wa-download bure? nways, unaeza kutumia torrents kushusha mafaili ila wakikuotea kuwa tayari kwa consequences..ni hayo tu bi mkubwa.
Umeipitia vizuri link ya Kang 20,000 BitTorrent Users Sued in One Lawsuit mbona watu hao wameshitakiwa, au walishinda kesi?
Hiyo idea kuwa kipande cha file sio copyrighted sijui umeitoa wapi mzee, kipande ni part ya copyrighted material na hivyo kinalindwa na copyright. Na anyway file zote unadownload kwa "vipande" kwenye net data inatembea kwa packets kwenye network so haimake a lot of sense argument hiyo. Tofauti hapa ni kuwa inatoka multiple sources.
Ruling ya Piratebay ilikuwa niya Sweedish court na SHERRIF ARPAIO aliulizia kuhusu USPia Piratebay imepoteza kesi na wamehukumiwa kifungo waendeshaji wake, pamoja na utofauti wa technolojia na Napster.
Tofauti kubwa ya Bittorrent ni kuwa hakuna central server inayoweza kuzimwa, mtu yoyote anaweza akafungua tracker, tofauti na Napster ambayo ukizima server za Napster ndo basi tena, network nzima inacolapse. Hii haibadilishi legality ya kushare files sema ni vigumu zaidi kuithibiti.
Asante kwa maekezo hayo murua.Nikidownload nitakuwa kidownload nikijua wazi at my own risk.
Halfu naomba unitaake radhi unaniita mie bi mkubwa!!!kwani umewahi kuniona wapi?ukijua mm ni she?
Teh teh ..kwa hapa jeiefu ni posibo kabisaaaJamani kwani kuna daughter wa kiume? au ndo vile ki-jeifu jeifu..mtu ana ID ya Asha kumbe ni dume lenye masharubu kaa Usama..lol