We jamaaa watu wanatuma millioni kadhaa japan wanasubiri gari miezi ww unaogopa 9000.... sidhani kama mtu anaweza kutupa line kwa 9000 tu jaribu kumuamini akikupiga lete matokeo tutamsumbua mpaka akurudishie hela yako
Nitawezaje maumn maana hyo ni hela bro
kama una mashaka acha.
tuma imei number zake na operator number inakuwa hivi
imei;3576876534762436 (zinakuwa digi 15) na operator number inakuwa hivi v875-2bdtz1 ama vyenginevyo inategemea tuma kwa sms nitakupa unlock code ambazo utaingiza baada ya kuweka laini ya mtandao mwengine kinyume na huo ambao ulinunulia simu ndipo utaombwa unlock code, utaweka hizo nitakazo kupa simu itakuwa huru kwa mtandao wowote. utarudi hapa kutoa ushuhuda kwa wasio amini,
NASIKITIKA
jana nilimtolea mteja mmoja baada ya kuwa fresh akanipigia nakuniambia niirudishe ilivyokuwa akipata pesa ataniambia ni ifungue tena (TUWE WAAMINIFU) Kama ninavyotoa huduma kabla ya malipo 0715-387545 gharama ni TSH .5000
naomba mimi code ya vodafone v785tuma imei number zake na operator number inakuwa hivi
imei;3576876534762436 (zinakuwa digi 15) na operator number inakuwa hivi v875-2bdtz1 ama vyenginevyo inategemea tuma kwa sms nitakupa unlock code ambazo utaingiza baada ya kuweka laini ya mtandao mwengine kinyume na huo ambao ulinunulia simu ndipo utaombwa unlock code, utaweka hizo nitakazo kupa simu itakuwa huru kwa mtandao wowote. utarudi hapa kutoa ushuhuda kwa wasio amini,
NASIKITIKA
jana nilimtolea mteja mmoja baada ya kuwa fresh akanipigia nakuniambia niirudishe ilivyokuwa akipata pesa ataniambia ni ifungue tena (TUWE WAAMINIFU) Kama ninavyotoa huduma kabla ya malipo 0715-387545 gharama ni TSH .5000