Waweza kutumia Dc unlocker ambayo ni software ya kulipia online,but kama unaweza pata crack yake its okay,but sidhani kama crack ya version ya Dc unlocker inayoweza kuanlock hiyo simu imekwishatoka.kwanza inatakiwa uwe na uwezo wa kulipia online,pili download software ya dc unlocker ,tatu unatakiwa uanlock bootloader,maelezo yote utapata hapa.
Note:unatakiwa kuwa na credit 7 ili kuweza kuanlock hiyo simu ambayo ni kama elfu kumi na mbili tsh/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.