How to unlock a blackberry?

did exactly like Ndibalema has adviced. we managed to get the MEP 2 and 4 codes kwa kutumia IMEI number
solution ya Ndibalema iko based on "Call your carrier...Ask for the MEP code..." sasa wewe uko Bongo, simu hii ni ya T Mobile ya Marekani, hao T Mobile walikubali kweli kukupa unlock codes wakati wewe si mteja wao?
 
solution ya Ndibalema iko based on "Call your carrier...Ask for the MEP code..." sasa wewe uko Bongo, simu hii ni ya T Mobile ya Marekani, hao T Mobile walikubali kweli kukupa unlock codes wakati wewe si mteja wao?
Inawezekan sana mkuu ikiwa wewe ndiye mmiliki halali na mkataba wako ulikwisha malizika, au kama cm usika haijaripotia kuibiwa nk.
 

Nadhani ya simu ni bado imefungwa na T-Mobile.You wanaweza kupata ufumbuzi wa kudumu kufungua kutoka unBBlock.com kwa Bold yako Blackberry 9870 na kuondoa lock mtandao ... afterwhich unaweza kubadilishana mitandao.
 
Kama bado hujapata tiba ya simu yako tafadhalo fika ofisin. 0655003510 ofisi ni kinondoni studio
 
Kwa nini Mod hawagandishi au kunatisha ile thread ya ku unlock simu watu wawe wanaweka maswali yao yote ya kunlock hapo

Hawa viongozi wa JF macho yao ni kwenye siasa tu.

Mkuu samahan naomba unielekeze kitu hii kunlock blackbery ikikubal unakuwa na uwezo wakutumia hv vfurush vya kawaida au utaendelea kutumia vle vfurush special vya Blackbery
 
mimi issue yangu kwenye my epic 4G, nimefanikiwa kuhussle kutoa sprint prof ila issue kureprogram
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…