how to start a music management company

serio

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
7,306
4,681
hello guys,
naomba mwenye kujua jinsi ya kuanzisha MUSIC/ARTIST MANAGEMENT COMPANY kwa hapa Bongo anielekeze, na nimtaji wa shillingi ngapi naweza kuanzishia hiyo company..
thanks in advance
 
Kwanza swali la kwanza kujiuliza kuna Music Management ngapi bongo..
Music bongo ni pasua kichwa sana since uuzwaji wake ni wa kubabaisha....

Kukushauri usifanye na music Management bongo since wako matapeli kibao wanao run hizo management
Mkubwa fella
Chief kiumbe
Ustazi juma
Adam juma
N.k
Cha msingi njoo na Distribution business ya music iwe tofauti na iendane na technolojia take an example push mobile...
Something like that...
Ngoja nikanywe kahawa nitarudi..
 
mkuu C.T.U nadhani hauhitaji kumkatisha tamaa jamaa may b anaweza kuja na mapinduzi ya music management industry in tanzania...ila pia ningemshauri kabla ya yote ajue wahusika wake katika biashara hiyo anayotaka kuanza

1- wanamuziki wa bongo flava -- hawa 99% shule hawana na kama wamesoma mwisho ni form 4 na wamefail wakakimbilia kufanya mziki kwa kutumia vipaji na bila elimu ya mziki
2- bongoflava 90% ni wavutaji na watumiaji wa madawa ya kulevya hasa bangi na unga...achilia mbali ulevi wao mpya wa kulewa sifa za kijinga
3- wanamziki wa bend-- hawa 90% with exclussion ya wazee na bendi kongwe hawa ni watu wa kuhamahama kama wafugaji wa kimasai...bendi haijapata jina nusu ya wanamziki weshahama tena bila sababu ili wauze magazeti.
4- wanamuziki wa taarabu-- huku ni majungu, uchawi na uswahili usiokuwa na tija...mtu anaweza asije kwenye shughuli ya bendi kisa kuna maulidi kwa jirani.

kwa uelewa wa hayo machache yanayorudisha nyuma biashara ya mziki wa tzania nadhani aanze na suala la ELIMU NA SOMO LA KUJITAMBUA KWA WANAMUZIKI WETU...awafundishe "super-stardom management and self understanding"..mwanamziki hata kumuuza kwenye tangazo la biashara watu wanaogopa kumnunua coz kesho asubuhi atatoke kwenye gazeti katiwa pigu kwa kosa la kukutwa kijiweni anavuta bhange..

ndioo.. mfano 20% alichukuwa awards 5 lakini wiki iliyofuata alikuwa mahakamani anakesi ya kuvuta bange...ni kampuni gani itakupa udhamini kwa mtu kama huyo anaye-tarnish image yake na yao.
 
Kwanza swali la kwanza kujiuliza kuna Music Management ngapi bongo..
Music bongo ni pasua kichwa sana since uuzwaji wake ni wa kubabaisha....

Kukushauri usifanye na music Management bongo since wako matapeli kibao wanao run hizo management
Mkubwa fella
Chief kiumbe
Ustazi juma
Adam juma

N.k
Cha msingi njoo na Distribution business ya music iwe tofauti na iendane na technolojia take an example push mobile...
Something like that...
Ngoja nikanywe kahawa nitarudi..

mkuu hujamaliza kunywa kahawa.. rudi basi...
kwanza asante kwa point zako za msingi, music management bongo bado kizungumkuti na kweli ni pasua kichwa, but how do these guys(in red) work??? how do they earn it big in this industry???
 
mkuu C.T.U nadhani hauhitaji kumkatisha tamaa jamaa may b anaweza kuja na mapinduzi ya music management industry in tanzania...ila pia ningemshauri kabla ya yote ajue wahusika wake katika biashara hiyo anayotaka kuanza

1- wanamuziki wa bongo flava -- hawa 99% shule hawana na kama wamesoma mwisho ni form 4 na wamefail wakakimbilia kufanya mziki kwa kutumia vipaji na bila elimu ya mziki
2- bongoflava 90% ni wavutaji na watumiaji wa madawa ya kulevya hasa bangi na unga...achilia mbali ulevi wao mpya wa kulewa sifa za kijinga
3- wanamziki wa bend-- hawa 90% with exclussion ya wazee na bendi kongwe hawa ni watu wa kuhamahama kama wafugaji wa kimasai...bendi haijapata jina nusu ya wanamziki weshahama tena bila sababu ili wauze magazeti.
4- wanamuziki wa taarabu-- huku ni majungu, uchawi na uswahili usiokuwa na tija...mtu anaweza asije kwenye shughuli ya bendi kisa kuna maulidi kwa jirani.

kwa uelewa wa hayo machache yanayorudisha nyuma biashara ya mziki wa tzania nadhani aanze na suala la ELIMU NA SOMO LA KUJITAMBUA KWA WANAMUZIKI WETU...awafundishe "super-stardom management and self understanding"..mwanamziki hata kumuuza kwenye tangazo la biashara watu wanaogopa kumnunua coz kesho asubuhi atatoke kwenye gazeti katiwa pigu kwa kosa la kukutwa kijiweni anavuta bhange..

ndioo.. mfano 20% alichukuwa awards 5 lakini wiki iliyofuata alikuwa mahakamani anakesi ya kuvuta bange...ni kampuni gani itakupa udhamini kwa mtu kama huyo anaye-tarnish image yake na yao.

mkuu uliyo yaongelea yote ni kweli, wasanii wana uswahili sanaaa... you can take someone out of the bush, but you cannot take the bush out of him...this is exactly whats happening to theses superstars...
but lets try it this way.... you dont have to manage all the artistes,..
unawa sign wasanii wachanga(underground) wenye vipaji, unawafanyia production, na unawafanyia promotion until they stand firm with a stable fanbase... then unawacharge according to your agreements per album sales or income from concerts,.. how about that? what can you say about that?
 
Hawa jamaa kina Ustazi juma nafikiri pesa wanapata kwenye mapato ya wasanii kwenye shows. Etc
But mimi nilikuwa najaribu kukushauri tu katika Music industry you can be as Distributor na ukatengeneza pesa nzuri kuliko management ...
 
Hawa jamaa kina Ustazi juma nafikiri pesa wanapata kwenye mapato ya wasanii kwenye shows. Etc
But mimi nilikuwa najaribu kukushauri tu katika Music industry you can be as Distributor na ukatengeneza pesa nzuri kuliko management ...


Kaka upo sahihi lakini pia unajuwa hii distribution line needs a lot of capital to start...inawezekana mshkaji hana that financial capital ndio maana anataka kuingilia kwenye management..just his skills na kwenda kasi kwa wadhamini...(PR CAPITAL)
 
hello guys,
naomba mwenye kujua jinsi ya kuanzisha MUSIC/ARTIST MANAGEMENT COMPANY kwa hapa Bongo anielekeze, na nimtaji wa shillingi ngapi naweza kuanzishia hiyo company..
thanks in advance

1. sajili kampuni kwanza, llimited company ni bora,
2. pata leseni za biashara
3. pata TIN number
4. sajili BASATA (baraza la sanaa la Taifa)
5. sajili COSOTA
6. sajili GS 1 barcode au ISSN number, ISMP
7. juunge na ASCAP ya USA

kwa ushauri zaidi nnapatikana 0655 308308
 
[/B]
Kaka upo sahihi lakini pia unajuwa hii distribution line needs a lot of capital to start...inawezekana mshkaji hana that financial capital ndio maana anataka kuingilia kwenye management..just his skills na kwenda kasi kwa wadhamini...(PR CAPITAL)

mkuuu.... u just said it all...
 
1. sajili kampuni kwanza, llimited company ni bora,
2. pata leseni za biashara
3. pata TIN number
4. sajili BASATA (baraza la sanaa la Taifa)
5. sajili COSOTA
6. sajili GS 1 barcode au ISSN number, ISMP
7. juunge na ASCAP ya USA

kwa ushauri zaidi nnapatikana 0655 308308
hapo mkuu kwenye red.... any ellaboration is welcome.
 
hello guys,
naomba mwenye kujua jinsi ya kuanzisha MUSIC/ARTIST MANAGEMENT COMPANY kwa hapa Bongo anielekeze, na nimtaji wa shillingi ngapi naweza kuanzishia hiyo company..
thanks in advance

hata hakuna mtu amajibu swali hata moja, mi pia nna idea hiyo so.....
 
hata hakuna mtu amajibu swali hata moja, mi pia nna idea hiyo so.....

ndugu vena...sio kila swali linaloulizwa linatakiwa kujibiwa straight...kwa umri na uelewa wetu hatutarajii maswali kama 0-1 tukupatie jibu la haiwezekani... Lazma tujiulize kwann tumeulizwa maswali mepesi au tunapimwa akili??

Swali la mdau linahitaji majibu zaidi ya nenda brela sajili kampun mara cosota mara basata and the rest of things... Majibu ya maswali yake ni pamoja na kuelewa uelewa wa muhusika katika platform anayotaka kufanya kazi...kwa aina ya wasanii wetu un aweza kuwaandalia shoo kisha wasije ku-perfom je hizo gharama si ndio hasara yenyewe...na hata ukimpeleka mahakamani bado utatumia gharama za kumshtaki mpuuzi mmoja akulipe fidia ya tsh 100m wakati yeye hana hata tsh 100..hiyo biashara masihara.

Hata angekuwa na tsh 1bilion kama hawaelewi wasanii na watumiaji wa bidhaa yake basi ajiandae kuliwa yote na kuanza zerooo....ni maoni tuu.
 
ndugu vena...sio kila swali linaloulizwa linatakiwa kujibiwa straight...kwa umri na uelewa wetu hatutarajii maswali kama 0-1 tukupatie jibu la haiwezekani... Lazma tujiulize kwann tumeulizwa maswali mepesi au tunapimwa akili??

Swali la mdau linahitaji majibu zaidi ya nenda brela sajili kampun mara cosota mara basata and the rest of things... Majibu ya maswali yake ni pamoja na kuelewa uelewa wa muhusika katika platform anayotaka kufanya kazi...kwa aina ya wasanii wetu un aweza kuwaandalia shoo kisha wasije ku-perfom je hizo gharama si ndio hasara yenyewe...na hata ukimpeleka mahakamani bado utatumia gharama za kumshtaki mpuuzi mmoja akulipe fidia ya tsh 100m wakati yeye hana hata tsh 100..hiyo biashara masihara.

Hata angekuwa na tsh 1bilion kama hawaelewi wasanii na watumiaji wa bidhaa yake basi ajiandae kuliwa yote na kuanza zerooo....ni maoni tuu.

A%20S%2039.gif
Is it?
 
[h=2]GS1 is an international not-for-profit association with Member Organisations in over 100 countries.[/h] GS1 is dedicated to the design and implementation of global standards and solutions to improve the efficiency and visibility of supply and demand chains globally and across sectors. The GS1 system of standards is the most widely used supply chain standards system in the world.
Our Member Organisations handle all enquiries related to GS1 products, solutions and services.

[h=2]What Is ASCAP?[/h] The American Society of Composers, Authors and Publishers (ASCAP) is a membership association of more than 435,000 U.S. composers, songwriters, lyricists, and music publishers of every kind of music. Through agreements with affiliated international societies, ASCAP also represents hundreds of thousands of music creators worldwide. ASCAP is the only U.S. performing rights organization created and controlled by composers, songwriters and music publishers, with a Board of Directors elected by and from the membership.
ASCAP protects the rights of its members by licensing and distributing royalties for the non-dramatic public performances of their copyrighted works. ASCAP's licensees encompass all who want to perform copyrighted music publicly. ASCAP makes giving and obtaining permission to perform music simple for both creators and users of music.
[h=2]Who Is ASCAP?[/h] ASCAP is its members - creative people who write the music and lyrics that enrich lives in every corner of the world.
 
Hahahahahaaha!ngoja nikikumbuka nitarudi hapa niwape hali halisi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom