How to root tecno c9

How to root tecno c9

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Wapendwa naomba kupata app ambayo itaniwezesha ku root simu tajwa hapo juu bila kutumia computer, hapo awali nilikuwa na tecno phantom plus nikairoot kwa kutumia kingroot lkn nilipojaribu kwa simu hii haikuwezekana, je nitumie ipi?
 
Ingia google kisha sachi (kingoroot) iko poa sana ukiipata utafurahi
 
Je ushawahi kuroot simu yoyote??
C9 inamambo mengi kuiroot lazima uwe pro.
Lazima u unlock bootloader
Ndo uroot simu
 
Huko kurooti ndo kufanyeje hii tekinolojia sijui nasikiasikia tu nipeni maujanja nami mtaan wanione inginia maana wengi wanajua wasapu tuu
 
Huko kurooti ndo kufanyeje hii tekinolojia sijui nasikiasikia tu nipeni maujanja nami mtaan wanione inginia maana wengi wanajua wasapu tuu
Jamani kumbe watu hawajui mambo mengi eeh
 
Je ushawahi kuroot simu yoyote??
C9 inamambo mengi kuiroot lazima uwe pro.
Lazima u unlock bootloader
Ndo uroot simu
Sidhani kama Tecno C9 inahitaji unlock Bootloader kwa kuwa yenyewe ni SIM FREE. Unlock Bootloader ni kwa zile simu ambazo zimekuja na mitandao toka kiwandani kwa mfano simu za TiGO au Vodacom ambazo zimetengenezwa maalum kwa mitandao hiyo.
 
Sidhani kama Tecno C9 inahitaji unlock Bootloader kwa kuwa yenyewe ni SIM FREE. Unlock Bootloader ni kwa zile simu ambazo zimekuja na mitandao toka kiwandani kwa mfano simu za TiGO au Vodacom ambazo zimetengenezwa maalum kwa mitandao hiyo.
Kaka umeenda chaka hebu jaribu kugoogle maana ya bootloader poa.simpy it does work kama bios kwenye computer hope u got me
 
Back
Top Bottom