Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
1234 au 0000Wakuu msaada tafadhali, nimetupia kizungu kidogo hapo ila kusudi langu ni kuactivate incoming call barring kwenye simu yangu, password zake ndio zipi?
Natanguliza shukrani.
Issue ni password mkuu! Kila mtandao una password zake ili uweze ku activate hiyo call barring zamani tulkuaga tunajiwekea tu 1234 au 0000, Nilikuaga nazo za mitandao baadhi hasa voda, tigo na halotel ngoja nizitafute ntaziweka hapa.Kwa Android click phone kama unapiga simu, juu kulia click dots 3 nenda setting kisha call setting kisha other feature(simu nyengine inaweza isiwepo) kisha chagua call barring, iache iload itakupa options.
Hazikubali hizo washablockigi kitambo tu.Option inanipa sana ila password ndio tatizo, hizo 0000, 1111, 1234 hazikubali.
Kama mtandao ni Vodacom password ni hizo hapo juu na inakubali ila airtel waliniambia hawana hiyo huduma, tigo sijawahi kua nao na halotel ama TTCL.Hazikubali hizo washablockigi kitambo tu.
Nipo natafuta, sikumbuki nilizisave wapi ila nilizitunzaga kabisa passwords za mitandao kadhaa sehemu moja.
Mm hizi passwords zote zimegoma,its almost a week,line ni ttclKama unataka ku-activate call barring kwa incomiming kupitia USSD bonyeza *21*0754125125#
Hakuna simu itaingia hapo, ni sms tu.
Kuondoa ##002#
AU
Tumia njia ndefu ya kwenda setting ya call kama walivyosema hapo juu.
Password kama sio 0000 basi ni 1234 au 1111.
Off: #330*0000#Mm hizi passwords zote zimegoma,its almost a week,line ni ttcl
Off: #330*0000#
On:*33*000
Off: #330*0000#
On:*33*0000#