Hapo kwenye HUMANITY DIES na kwenye MONEY LOST
Nafkiri ni sisi wanachi wenyewe tunajiendekeza ivi unaendaje kusali kanisa la Gwajima kama sio ikili mbovu jitu jongo unalisikia kabisa halafu J'pili unalipelekea sadaka na kwa heshima huku unamwita eti, Baba askofu akuombee !!!
Chama Cha Majizi unaona kabisa miaka 60 hakuna jipya leo wanafikka kukwambia hakuna haja ya katiba mpya na ulishawahi kumsikia Babu yao anakwambia hii katiba akija chizi utawaumiza halafu unakausha koo kabisa eti Chama Cha Mjambazi Oyeeee ... du!! Kaaazi kwelikweli