How to Crack?

Nyasiro

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
1,200
551
Huwa inafika wakati unahitaji crack au keyz za software flani lakini inakosekana, mimi nadhani ni kwa sababu crakers hawajavutiwa na hiyo program au labda ni watu wachache wanayo ihitaji. Hapa ndipo inapokuja haja ya kujifunza kufanya CRACKING mwenyewe. Leo ntatoa baadhi ya tools ambazo hutumiwa na crackers ku-CRACK program.

Software nyingi zinazotumiwa hazitengenezwi kwa madhumuni ya CRACKING bali DEBUGGING. Kwa wale wenye ujuzi wa programming wanaelewa nini maana ya Debugging ila kwa kifupi ni hatua au kitendo cha kuondoa programming errors katika program. Crackers hutumia huu mwanya na uwezo wa hizi debuggers kufanya reverse engineering na kumodify program.

Unavyohitaji kwa kifupi:

**Angalau uelewa wa programming na assembly language, ingawa sio lazima cracker awe programmer

**Uelewa wa Windows registry editor

**UVUMILIVU

**n.k

**Software unazohitaji**

OllyDbg au WDASM hizi ni program zinazotumiwa sana kufanya cracking. Lakini wengi hutumia OllyDbg
zaidi ya WDASM.

Zote zinatumia concept zilezile za JA, JAE,JG,DWORD n.k .

Software nyingine inayotumiwa inaitwa Cheat Engine hii inatumika kuwezesha Button ambazo haziko active. mfano labda Next button inayo kuruhsu kufanya installation ambayo itakua active pale ukiweka key lakini kwa kutumia Cheat engine unaiwezesha.

Software nyingine inaitwa Resource Hacker hii ni RAHISI kabisa kutumia inamodify EXEs na ku-compile script kwa haraka sana. Hii haihitaji ujuzi wa programming. Kwa kutumia Resource Hacker unaweza kumodfy EXEs, kuondoa vitu usivyovitaka na kuongeza vyako.

Inabidi uwe mvumilivu tutorial zipo nyingi sana.

DOWNLOAD LINKS

OllyDbg: OllyDbg v1.10
WDASM: W32DASM Download - Softpedia
Cheat Engine: Cheat Engine
Resource Hacker: Resource Hacker

N.B KUMBUKA KUFANYA BACKUP KABLA YA KUFANYA LOLOTE HASA UNAPO MODIFY WINDOWS EXEs AU DLLS
 
Huwa inafika wakati unahitaji crack au keyz za software flani lakini inakosekana, mimi nadhani ni kwa sababu crakers hawajavutiwa na hiyo program au labda ni watu wachache wanayo ihitaji. Hapa ndipo inapokuja haja ya kujifunza kufanya CRACKING mwenyewe. Leo ntatoa baadhi ya tools ambazo hutumiwa na crackers ku-CRACK program.

Software nyingi zinazotumiwa hazitengenezwi kwa madhumuni ya CRACKING bali DEBUGGING. Kwa wale wenye ujuzi wa programming wanaelewa nini maana ya Debugging ila kwa kifupi ni hatua au kitendo cha kuondoa programming errors katika program. Crackers hutumia huu mwanya na uwezo wa hizi debuggers kufanya reverse engineering na kumodify program.

Unavyohitaji kwa kifupi:

**Angalau uelewa wa programming na assembly language, ingawa sio lazima cracker awe programmer

**Uelewa wa Windows registry editor

**UVUMILIVU

**n.k

**Software unazohitaji**

OllyDbg au WDASM hizi ni program zinazotumiwa sana kufanya cracking. Lakini wengi hutumia OllyDbg
zaidi ya WDASM.

Zote zinatumia concept zilezile za JA, JAE,JG,DWORD n.k .

Software nyingine inayotumiwa inaitwa Cheat Engine hii inatumika kuwezesha Button ambazo haziko active. mfano labda Next button inayo kuruhsu kufanya installation ambayo itakua active pale ukiweka key lakini kwa kutumia Cheat engine unaiwezesha.

Software nyingine inaitwa Resource Hacker hii ni RAHISI kabisa kutumia inamodify EXEs na ku-compile script kwa haraka sana. Hii haihitaji ujuzi wa programming. Kwa kutumia Resource Hacker unaweza kumodfy EXEs, kuondoa vitu usivyovitaka na kuongeza vyako.

Inabidi uwe mvumilivu tutorial zipo nyingi sana.

DOWNLOAD LINKS

OllyDbg: OllyDbg v1.10
WDASM: W32DASM Download - Softpedia
Cheat Engine: Cheat Engine
Resource Hacker: Resource Hacker

N.B KUMBUKA KUFANYA BACKUP KABLA YA KUFANYA LOLOTE HASA UNAPO MODIFY WINDOWS EXEs AU DLLS

wud plz add some tutorials of ur own kud b much better!
Showing thoz breaking points,renaming the jnz to JNZ etc
 
wud plz add some tutorials of ur own kud b much better!
Showing thoz breaking points,renaming the jnz to JNZ etc

sina tutorial zozote na wala sijawahi kufanikiwa ku-crack program hata moja!!!...na mimi ni mwanafunzi. Unaweza kugoogle zipo nyingi sana za video na txt ila to be honest sio kazi rahisi manake techniq zinazotumiwa sio rahisi ku bypass.
 
sasa hivi njia rahisi kabisa ya kutumia software full ni kuchukua launcher ya mtu alienunua na kureplace yako trial, au launcher ambayo ipo cracked ureplace na yako ambayo ni trial au software ambayo haijanunuliwa.

Mfano nimedownload software aimersoft dvd burner then nimepewa trial siku 30 halafu kuna mtu uingereza ameinunua software ile atakachofanya atanavigate style hii

-computer
-local disk c
-program files
-aimersoft (jina la software)

Ukiopen utaiona hio launcher mara nyingi inakua na icon ya software ataicopy na ku upload net na wewe utaidownload na kufata same steps then unaenda ipaste kwako ur done ushachakachua.

Japo njia hii haikubali software zote ila nyingi zinakubali mfano idm, pes 2011, potrait photo, aurora 3d nimezichakachua mwenyewe kwa kutumia njia hio.
 
sasa hivi njia rahisi kabisa ya kutumia software full ni kuchukua launcher ya mtu alienunua na kureplace yako trial, au launcher ambayo ipo cracked ureplace na yako ambayo ni trial au software ambayo haijanunuliwa.

Mfano nimedownload software aimersoft dvd burner then nimepewa trial siku 30 halafu kuna mtu uingereza ameinunua software ile atakachofanya atanavigate style hii

-computer
-local disk c
-program files
-aimersoft (jina la software)

Ukiopen utaiona hio launcher mara nyingi inakua na icon ya software ataicopy na ku upload net na wewe utaidownload na kufata same steps then unaenda ipaste kwako ur done ushachakachua.

Japo njia hii haikubali software zote ila nyingi zinakubali mfano idm, pes 2011, potrait photo, aurora 3d nimezichakachua mwenyewe kwa kutumia njia hio.

I'll Go with this
 
chief-mkwawa hii teknik ni nzur sana kwan haiumiz kabisa kichwa ila kama ulivyoxema ni software chache ambazo zinategemea exe yenyewe ili kuondoa trial. program nyingine zinahitaji online verifkeshen kitu ambacho kinahusisha exe yenyewe, registry values n.k na hapo ndipo inapokuja haja ya kufanya crakng.
 
Last edited by a moderator:
chief-mkwawa hii teknik ni nzur sana kwan haiumiz kabisa kichwa ila kama ulivyoxema ni software chache ambazo zinategemea exe yenyewe ili kuondoa trial. program nyingine zinahitaji online verifkeshen kitu ambacho kinahusisha exe yenyewe, registry values n.k na hapo ndipo inapokuja haja ya kufanya crakng.

yap nakubaliana na wewe hasa haya ma over priced shit ya adobe mpaka kuwe na some dll ziwe patched
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom