E=mcsquared
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 251
- 48
Ukiangalia kiwango cha maji hiyo meli inayoyasukuma ili ipite ina maana siku ikija Dar lile soko la samaki feri itabidi lifungwe kwani maji yatakaribia ikulu, au sivyo?.
Vipi wee Preta!.Nakusudia hii meli ili ipite husukuma pembeni maji mengi,ndio nikadhani ikipita pale Kigamboni maji yanaweza kujaa mpaka soko la samaki likafungwa,au nimekosea?haaa!!.... kumbe ikulu imejengwa kwenye njia ya cruise ship eeeh!!!