How Should Men Overcome Womanizing?

wataweza tu wakimrudia mungu cz wanayoyafanya si kwa nguvu zao ni SHETAN ANAWAENDESHA
yes kuvutiwa kupo bt not 2the extent ya ku un do yule wa jana na kuklik next wa leo.....wanataka wampiku mfalme suleiman et ...wataweza??
wakitafuta neema ya mungu na mungu akawa kila kitu kwao i tabia wataacha cz mungu atawaguid kwa kila kitu watakuwa na eva mmoja n thats t ata km delila akijipitisha na uzuri mwing km wa cleopatra wala hawatatetereka!!!!!
very well said mamy!!!! ngoja waendelee ku do na ku undo ila iko siku Mungu atawaa undo na wao ndo watakiona cha mtema kuni, kuwanyasanyasa wadada wa watu kwa kuwamega kisha kuwatema.
 
hahahaha Rose umenichekesha sana wajua nimekaa hata siwaelewi kwa nini wanafanya hivi?kweli wanatakiwa upako

FL1 Upako wenyewe uwe very hollistic maana hata baadhi ya watumishi wameangukia hapo mahali,cha muhimu ni kupingana na hiyo spirit ya nature.
Tatizo ni nature tuu,nakumbuka habari za suleman na hekima yote lkn hapo mahali palimshinda,haya baba yake Daudi nae akabaka!
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana inapofika kny hayo maswala,utakuwa puzzled mwisho unacease!but prayer can get rid of those spirit
 
hahahaha Rose umenichekesha sana wajua nimekaa hata siwaelewi kwa nini wanafanya hivi?kweli wanatakiwa upako

Haya mambo yanafanywa na jinsia zote mbili. Ukiangalia na kipande ile nyingine utaona hali ni hiyo hiyo. IT IS HUMAN NATURE
 
@FL1...

Umeleta mada nzuri sana, tatizo majibu yake ni changamoto kidogo... Personally i dont think it is fair to generalise that men are womanisers, i think there is less than 30% of men ambao ni womanisers (sina source ya data though)... I also believe that in our society these days, it s so easy to see a girl leaving her home after making sure that she is going to "wow" men with her style etc... this means that without flirting mwanamke hainjoi tena siku hiyo

secondly, i do believe that there is an equal chance that women have the same attaraction au scenario za kutamani the opposite sex kwenye equal proportion na wanaume, but we usually play it down

Nitatafuta sababu nyingine konyagi ikiisha mwilini, lakini je.... HOW CAN WOMEN STOP BEING WOMANIZED ADN WOO-MAN-NIZED?
 
NATURE ya binadamu kama walivyo wanyama wengine ni POLOIGAMY.

Na hii sio kwa wanaume tu hata wanawake. Ni control za kidini,kitamadani kisheria sometime ndo zinatulazimisha tusisikilize hisia zetu halali. Vile vile maumbile ya "uzalishaji" kibaiolojia yanatupa wanaume advantage. But naamin hata wa kike nihivyo hivyo

kuacha ni suala la muda tu .wanaokuwa womaniser ni wale waliruka stage fulani za ujanani. Akifanya akachoka basi anbaki na makoloni machache

Lakini nadhani ni nature .

hahahahhahha
 
Most men have this problem of desiring any lady they see who crosses their line of sight. A man may decide to stick with a certain lady today, but the next day another lady may appear to be more attractive and gorgeous than the girl he intends to settle down with. Beautiful girls are so many and located everywhere that making a choice has always been like;
YES SHE IS THE ONE!!! baadae utamsikia ...mmmh
NO IT IS THIS ONE!!!
Hii mambo mbona inakuwa siku hadi siku kulikoni???????????????????????????!:A S 33::A S 33:
Msinimeze hv great one !

dont you want to be appreciated?
 
labda hilo linaweza kuwa suluhisho maana wanavyokatiza striti na kata k, push up, mini, tait aah! wanasababisha brodas wapate shida kupitiliza
Hamna chochote rafiki.... two can play that game, and for men to stop it, women may need to apply the brakes
 
wataweza tu wakimrudia mungu cz wanayoyafanya si kwa nguvu zao ni SHETAN ANAWAENDESHA
yes kuvutiwa kupo bt not 2the extent ya ku un do yule wa jana na kuklik next wa leo.....wanataka wampiku mfalme suleiman et ...wataweza??
wakitafuta neema ya mungu na mungu akawa kila kitu kwao i tabia wataacha cz mungu atawaguid kwa kila kitu watakuwa na eva mmoja n thats t ata km delila akijipitisha na uzuri mwing km wa cleopatra wala hawatatetereka!!!!!

Unachosema ni kweli dada yangu....
lakini tusaidieni basi kuomba....labda tunaweza kufanikiwa :A S tongue:
 
napinga isnt nature
ni tabia binafsi cz kuna wanaume wengine HAWANA KABISA TABIA IZI NI WA MKE MMOJA TU ...
WANAOJIFANYA NI NATURE NI KWAMBA WANATAFUTA JUSTFCATION TU ..ni kujiendekeza tu kwani wanawake wao hawataman?au vipofu hawaoni vizur ao mahandsam?
ni tabia ya ukengewima bt nt nature apana nooooo nagoma!!!!!!

Rose, The behavior of someone may be depicted in his/her avatar. I wonder whether you really practice what you preach!!!!! I agree totally that nature is the driving force for someone to covet. What we need, is self-control and maintaining the dignity. This can be achieved by any-one whether is religious one or not.
 
Ladies wengi wa siku hizi hawapendi kuwa controlled au kuruhusu kitu ambacho kita inhibit any freedom hasa wenye sources za kipato iwe kwa kutumia miili yao au ofisi zao. Kwa wanaume wenye kulielewa hili sio rahisi kujenga kibanda kwani anajua au anahisi motives za kinadada kuwa wanaume na wanawake ni sawa kwa kila kitu
 
Inabidi tuwasaidie dada zetu,maana tukiwaacha muda mrefu bila kuwasemesha huwa wanaenda kwa waganga wa kienyeji.
 
FL1 Siyo jambo rahisi kwa wanaume kuacha hako kamchezo unless wawe transformed in their minds/sprits. Suala la kumtamani msichana/mwanamke au kupata mvuto wa mvulana/mwanaume kwa msichana/mwanamke ni asili lakini asili hii haikulazimishi kuchukua hatua. Mwanaume unapomuona msichana ni mzuri/mrembo kwa mtizamo wako, unachukua hatua gani baada ya hapo? Kinachotakiwa ni kuishia hapo kuwa msichana/mwanamke amebarikiwa kuwa mrembo that is all.

Shida ya wanaume ambao hawajawatransformed ndani ya mind zao wanatamani sasa wachukue hatua inayofuata ya kumfuatilia huyo msichana/mwanamke na hapo ndipo wanaume tunapokosea. Wasichana/wanawake warembo wako wengi sana na wengine hawajazaliwa; sasa ukiwa na tabia kuwa kila mrembo unayemuona ni lazima ulale naye ni hatari. Chagua mmoja tu kati ya warembo wote unawaona, huyo awe mke wako na huo uwe mwisho wa kuwaangalia na kuwatamani warembo wengine waliobaki. Naamini unachotamani kwa huyo mrembo unayemuona mkeo anacho na unaweza kukipata, hii ndiyo inayotakiwa kwa kila mwanaume.

Kwa nini umnyime raha mkeo kwa kutembea na msichana/mwanamke mwingine? Na wasichana/wanawake nawauliza kwa nini ukubali kulala na mtu ambaye siyo mme wako? Ninachojua wadada/wanawake wote wakiamua kutowakubalia wanaume ambao sio waume zao, hatutakuwa na wanaume tutakaowaita womanizer.

Namalizia kwa kusema haka ni kapepo ka uzinzi tukaondekeza na ni lazima tukakemee na tukimbie.
 
@FL1...

Umeleta mada nzuri sana, tatizo majibu yake ni changamoto kidogo... Personally i dont think it is fair to generalise that men are womanisers, i think there is less than 30% of men ambao ni womanisers (sina source ya data though)... I also believe that in our society these days, it s so easy to see a girl leaving her home after making sure that she is going to "wow" men with her style etc... this means that without flirting mwanamke hainjoi tena siku hiyo

secondly, i do believe that there is an equal chance that women have the same attaraction au scenario za kutamani the opposite sex kwenye equal proportion na wanaume, but we usually play it down

Nitatafuta sababu nyingine konyagi ikiisha mwilini, lakini je.... HOW CAN WOMEN STOP BEING WOMANIZED ADN WOO-MAN-NIZED?

I think its an opportunity for women to tell us what measures should be taken regarding that matter
 
Hivi kwa nini watu wanapenda kupambana na vitu vilivyoko nje ya uwezo wao?

Kama mtu anapenda sana biolojia kuzidi wengine dawa ni kumtafutia varieties ili acheue mwenyewe. Kwa wale wanaoaweza kuishi na kuzikwa kwa kula mlo wa aina moja poa tu. Ila hakuna haja kulazimishana kuvaa uniform kama watoto wa chekechea!

Wengine wanadai kupata hiyo kitu ni dawa ya ugonjwa wa moyo...sasa kwa nini hao wasiachwe wakanywa dawa au tunataka wafe?
 
FL1 Siyo jambo rahisi kwa wanaume kuacha hako kamchezo unless wawe transformed in their minds/sprits. Suala la kumtamani msichana/mwanamke au kupata mvuto wa mvulana/mwanaume kwa msichana/mwanamke ni asili lakini asili hii haikulazimishi kuchukua hatua. Mwanaume unapomuona msichana ni mzuri/mrembo kwa mtizamo wako, unachukua hatua gani baada ya hapo? Kinachotakiwa ni kuishia hapo kuwa msichana/mwanamke amebarikiwa kuwa mrembo that is all.

Shida ya wanaume ambao hawajawatransformed ndani ya mind zao wanatamani sasa wachukue hatua inayofuata ya kumfuatilia huyo msichana/mwanamke na hapo ndipo wanaume tunapokosea. Wasichana/wanawake warembo wako wengi sana na wengine hawajazaliwa; sasa ukiwa na tabia kuwa kila mrembo unayemuona ni lazima ulale naye ni hatari. Chagua mmoja tu kati ya warembo wote unawaona, huyo awe mke wako na huo uwe mwisho wa kuwaangalia na kuwatamani warembo wengine waliobaki. Naamini unachotamani kwa huyo mrembo unayemuona mkeo anacho na unaweza kukipata, hii ndiyo inayotakiwa kwa kila mwanaume.

Kwa nini umnyime raha mkeo kwa kutembea na msichana/mwanamke mwingine? Na wasichana/wanawake nawauliza kwa nini ukubali kulala na mtu ambaye siyo mme wako? Ninachojua wadada/wanawake wote wakiamua kutowakubalia wanaume ambao sio waume zao, hatutakuwa na wanaume tutakaowaita womanizer.

Namalizia kwa kusema haka ni kapepo ka uzinzi tukaondekeza na ni lazima tukakemee na tukimbie.

well said Future bishop who happended to be not a man!!!

Unajua kusema wanaume wana mapepo, kwangu mimi ni tusi, tena tusi kubwa sana kwasbabu wanaume hawafanyani wenyewe, and we have to be very carefull when we generalise things

I hd a case where a woman cheated and she gave a reason that i was not feeling loved at home, and when a man cheated, the same woman said that guy is a womaniser

double standards will always lead to non fairness in our lives

when analysing family/relationship things, it needs beyond a few sweeping statements and perceptions... one has to go deeper

I have an example of a woman who cant last three days without masturbating, and her admission was almost 50% of her friends masturbate too... but you will only here it from men

the root of many social problems is when one think the others have problems and she/he is ok, and this is exactly what this thread is all about

it never ends here
 
Back
Top Bottom