Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Awamu ya sita inaongozwa na kiongozi aliyeshiriki kuondoa huu uchafu wa miaka ya nyuma. Natumaini atakuwa na nguvu ya kupambana ili usizaliwe uchafu mwingine utakaokuja kuitambulisha awamu yake.
Ipo miradi mingi mikubwa na kule Mwanza nilimsikia anahoji juu ya matumizi ya bilioni 44 kujenga jengo la BOT, asiyumbe na asimame imara.
Ipo miradi mingi mikubwa na kule Mwanza nilimsikia anahoji juu ya matumizi ya bilioni 44 kujenga jengo la BOT, asiyumbe na asimame imara.