How much do you spend in weddings for a year?

Mi harusi yangu nikiwaonyesha picha wote humu mtacheka mfe, tulikaa na mume wangu tukapiga mahesabu tukaona hapa ni kufanya kitu kidogo ili tuendelee kuishi nakufanya maisha yaendelee kuwepo.

Sasa basi siku hizi watu wana show off nyingi wakati nyie ndo wahusika wakuu. Humu ndani tunaweza kufanya mambo makubwa, kutokana na kidogo tulichonacho na kufanya wengine wafaidike na kuchat kwetu humu ndani.

Ebu tujaribu kitu kimoja: kwanza kukutana na kufahamiana ili hata tunapowasiliana tunajuana. Pili tuweke mkakai wa kuanza michango hata kama ni kufungua akaunti tukamtafuta mhasibu kwa kufanya mahesabu yaende. Kila mwanachama atapropose kiawango gani tuanze nacho kutunisha mfuko wa msaada uone kama hatusaidii watu.

For sure mimi sichangii harusi hata siku moja, msiba natoa chochote nilicho nacho hata kama nabaki sina kitu.

Let learn from there, harusi ya million 25 ya nini? nini cha zaidi. tumuombe Mungu atunusuru.

Joyce
 
Ebu tujaribu kitu kimoja: kwanza kukutana na kufahamiana ili hata tunapowasiliana tunajuana. Pili tuweke mkakai wa kuanza michango hata kama ni kufungua akaunti tukamtafuta mhasibu kwa kufanya mahesabu yaende. Kila mwanachama atapropose kiawango gani tuanze nacho kutunisha mfuko wa msaada uone kama hatusaidii watu.
Joyce

Joyce?
Nasapoti japo sitachangia ila kwa kondisheni moja tu, hatuzipeleki hizo pesa benki ila DECI au tunampa xspin azifanyie biashara ya mayai.
 

Unisamehe sana Triplets kwa kauli yangu hii, naomba nikutangazie kwamba tayari umepitwa na wakati.


Wandugu, kuna aina ya harusi ambazo hamzitaji hapa, zile za jamaa walioshindwa kukodi gari la 500,000. Kutokana na uwezo wao mdogo, walitumia magari maku-kuu ya ndugu wenye afadhali kiuchumi.
Mwezi uliopita niliona msafara wa maharusi wenye magari matatu, kati ya hayo mawili ni taxi.
.

sasa mtu huna uwezo msafara wa magari makuu kuu au msafara wa taxi wa nini??

hao Lazy Dog ndio miaka ile walikuwa wanaenda zao kanisani, msikitini au kwa mkuu wa wilaya wenyewe na wazazi wao na wasimamizi wao, wakitoka huko wanakunywa soda na ndugu wa karibu sana, basi...hamna cha msafara wala nini maharusi wakiweza kukodi tax moja au ndugu akiwasaidia usafiri kwenye gari yake basi inatosha wengine wanarudi nyumbani na daladala,

sawa kuna harusi chache zipo simple, lakini ukweli ni kwamba kwa ujumla watu wamezidi sana siku hizi kufanya harusi zinazozidi uwezo wao kwa gia ya kuchangisha watu wengine...

kama mtu ana uwezo afanye harusi kubwa hakuna tatizo, lakini kama uchumi ndio hivyo tena ya nini kufuata mikumbo na kuumiza wengine?
 
Teh teh teh! pretty bana,inabidi ubadilike.Inawezekana umejitosheleza kwa kila kitu but think of the needy people around you!especially your relatives.

I don't think of, that we've our fellow Tanzanians who are totally satisfied in everything but wanajifanya wakati shida wanazo nyingi, ndugu zao vijijini maradhi tupu na shule hawakwenda. What is important here, is to change attitudes towards wedding ceremonies, why should we contribute huge amount of money for a one day leisure???? why don't we contribute for education of our children, helping people with terrible diseases and so on??? tutakalia kulalama kila kukicha
 
MOD,
thanks for upgrading my status right now here in JF.

Mkuu fugwe, MOD hahusiki na up-grading ya status yako JF bali ni system inahesabu ni mara ngapi umetoa mchango wako wa mawazo hapa.
 
Back
Top Bottom