Nadhani tungojee Uamuzi wa mahakama kujua nani mwongoMh. Mbowe ni muongo wa karne. Hivi alivyosema ni siasa alitaka aonewe huruma?? Je anataka wananchi waandamane kwa ajili ya hotel?
Nadhani tungojee Uamuzi wa mahakama kujua nani mwongoMh. Mbowe ni muongo wa karne. Hivi alivyosema ni siasa alitaka aonewe huruma?? Je anataka wananchi waandamane kwa ajili ya hotel?
ni madogo kwasababu kesi za madai hazina hukumu ya kunyongwa mpaka kufa kama ile ya afande bageni.kiufupi kwenda jela kwa kesi ya madai kwa mahakama za kibongo ni kujitakia.Dah, mkuu ni madogo kudaiwa?