damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,465
Habari zenu wana jf
Haya wasomi nipeni majibu
wht is a right answer?au na ww ujui?
Mbona simple sana!! Hiyo ya nje kubwa inayobeba wenzake ni ya kwanza (1). Zinazofuata ni 4 x 2= 8hapo katikati 2 the hizo ndogo ziko 4x2=8, therefore there 17+2 = 19 squares
31 sqs