Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Biashara ya korosho ilikuwepo kabla yake na itakuwepo baada ya yeye kuondoka ikulu. Simpimi ufanisi wake kwa kigezo kimoja tu, naelewa ukubw wa miradi ya kimkakati inayoendelea na ninaelewa kuwa Tanzania sio yetu tu, mimi na wewe tukiondoka duniani wapo watakaofaidika na yanayoendelea kufanyika nchini.Magufuli ameharibu biashara ya korosho mpaka mapato ya taifa ya mazao ya kilimo yameshuka kwa asilimia 55.
Huu ndio unabii unaotaka kuukubali?