How Magufuli transforms Tanzania, African politics

Magufuli ameharibu biashara ya korosho mpaka mapato ya taifa ya mazao ya kilimo yameshuka kwa asilimia 55.

Huu ndio unabii unaotaka kuukubali?
Biashara ya korosho ilikuwepo kabla yake na itakuwepo baada ya yeye kuondoka ikulu. Simpimi ufanisi wake kwa kigezo kimoja tu, naelewa ukubw wa miradi ya kimkakati inayoendelea na ninaelewa kuwa Tanzania sio yetu tu, mimi na wewe tukiondoka duniani wapo watakaofaidika na yanayoendelea kufanyika nchini.
 
Biashara ya korosho ilikuwepo kabla yake na itakuwepo baada ya yeye kuondoka ikulu. Simpimi ufanisi wake kwa kigezo kimoja tu, naelewa ukubw wa miradi ya kimkakati inayoendelea na ninaelewa kuwa Tanzania sio yetu tu, mimi na wewe tukiondoka duniani wapo watakaofaidika na yanayoendelea kufanyika nchini.
Hutakiwi kumpima rais kwa kigezo kimoja tu, na pia hutakiwi kuacha kumpima rais kwa kigezo hata kimoja.

Kwenye korosho ali fail vibaya na hakukuwa na haja yoyote ya failure hiyo, imeigharimu nchi mamia ya mamilioni ya dola.

Kwa sababu ya ushamba wa Magufuli tu.
 
Hutakiwi kumpima rais kwa kigezo kimoja tu, na pia hutakiwi kuacha kumpima rais kwa kigezo hata kimoja.

Kwenye korosho ali fail vibaya na hakukuwa na haja yoyote ya failure hiyo, imeigharimu nchi mamia ya mamilioni ya dola.

Kwa sababu ya ushamba wa Magufuli tu.
Aliuona uonevu wa madalali, mkulima anaingia gharama kubwa kulima halafu anajitokeza mtu wa kati kwa nia ya kumlalia. Kumbuka hao wanaolaliwa bei ndio wapiga kura wake.

Kuna viwanda vya korosho vinajengwa huko kusini, matumaini ni kwamba vitakuwa na msaada kwa wakulima,

Masuala ya kupata hasara au faida ni sehemu ya maisha, hata mataifa makubwa kuna wakati watu wao wanapata hasara pia.

JPM anafanya mengi, huko kwenye maziwa kulikuwa hakuna meli sasa zinajengwa, nidhamu imerudi serikalini, huko kwenye halmashauri watu hawachezei tena pesa.
 
Uzuri au ubaya wangu ni kwamba sikatai challenge. Umekatta drop ya 55% ya exports, ripoti ya BOT yenyewe, si muandishi wa habari, imeonesha hilo.

Sababu ya hii drop kwa kiasi kikubwa ni Magufuli kuingilia biashara ya korosho.Tanzania tuna nafasi ya kupata bei nzuri ya korosho, kwa sababu mavuno yetu yanaanza mwanzo kabisa, lakini, kwa sababu ya ujuaji wa kijinga wa Magufuli, tuliikosa nafasi hii mwaka jana. Hii ndiyo sababu kubwa ya hiyo drop. Korosho ndio zao la kwanza kwa kuingiza hela nchini, na Magufuli kaharibu soko mpaka serikali imejuta kufanya hilo.Tumemsikia Bashe anasema serikali haitajiingiza katika biashara ya korosho mwaka huu.

The reporter prettu much reproduced the BOT report.


Page 10f

The value of traditional goods exports fell by 55.0 percent year-on-year to USD 508.8 million in the year ending August 2019. The value of all traditional goods exports declined save for coffee. The value of coffee exports rose on account of increase in volume following good weather during the crop season, while that of cashew nuts declined due to fall in both volume and unit prices in the world market. The value of cloves, tobacco and sisal export decreased on account of volume, while that of tea was driven by price in the world market. Cloves did not perform well due to the cyclical nature of the crop. The value of traditional goods exports is expected to improve partly due to various initiatives to improve value addition and marketing.

That was exactly my point ulikuwa unajenga hoja kwamba bei ya Korosho iliporomoka kwa sababu ya Serikali kununua, ukweli ni kwamba wakulima walipata bei nzuri kutoka serikalini. Soko la korosho duniani bei yake iliporomoka lakini artical ya mwanzo umeikosoa Serikali na kusema JPM ndio aliingilia na kuharibu - fact ambayo unapotosha. Nilisema mwandishi alikuwa anajenga narative yake ambayo na wewe umeingia kwenye huo mtego.

Ukisoma hiyo report ya BOT ni tofauti na unachokiongelea, tuwe wakweli na kuandika facts bila kupotosha. Bei ya korosho ulimwenguni imeporomoka kutokana na kuanguka kwa soko hilo. Sasa unaweza kweli kusema hilo ni tatizo la JPM? I knew Alawi alikuwa anapamba anachotaka kuwaaminisha wasomaji wake. BTW hiyo drop ya 55% haikusababishwa na korosho pekee.
 
Kwa sasa dunia nzima ikizungumza uongozi bora Afrika inamuangalia Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia, mshindi wa nishani ya Nobel ya Amani ya mwaka huu.

Ukisema Magufuli duniani huku wanakuuliza "Magu who?".
Nobel ya amani kwa sababu walikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, walikuwa na vita na Eritrea, wana vita na El shabab. Huyo waziri alikuja kupatana na hao maadui. Sasa sisi huku hatuna vita na mtu yeyote raisi wetu apewe ni shani hiyo kweli?
 
Nobel ya amani kwa sababu walikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, walikuwa na vita na Eritrea, wana vita na El shabab. Huyo waziri alikuja kupatana na hao maadui. Sasa sisi huku hatuna vita na mtu yeyote raisi wetu apewe ni shani hiyo kweli?

Kupewa Nobel Peace Price si lazima kuwe na vita. Kuna Mkenya mama mmoja sasa ni marehemu, mama anaitwa Wangari Maathai, alipewa tuzo hiyo mwaka 2004.


Hatuna vita lakini watu wanaishi kama tuna vita.

Katika mwaka mmoja uliopita, mapato ya mazao ya kilimo yameshuka kwa asilimia 55, ripoti ya mwezi huu ya Benki Kuu ya Tanzania imesema. Anguko la zaidi ya nusu katika mwaka mmoja tu.

Kwa kiwango kikubwa hii inatokana na serikali kuingilia biashara ya zao la korosho.

Tumeliingiza jeshi katika biashara ambayo jeshi haliijui na wala haina uzoefu nayo.

Yani bora mwenye vita akajua kuimaliza, kuliko aaiye na vita ambaye anajianzishia vita mwenyewe.

Mapato ya exports ya mazao ya kilimo kuporomoka kwa zaidi ya nusu nzima katika mwaka mmoja ni kama nchi ipo katika vita vile.

Na hizo ni ripoti za Bank of Tanzania, serikali huwa inatia the most optimistic figures. Ukweli unaweza kuwa mbaya zaidi.

Ila washabiki wa Magufuli hawayaoni haya.
 
That was exactly my point ulikuwa unajenga hoja kwamba bei ya Korosho iliporomoka kwa sababu ya Serikali kununua, ukweli ni kwamba wakulima walipata bei nzuri kutoka serikalini. Soko la korosho duniani bei yake iliporomoka lakini artical ya mwanzo umeikosoa Serikali na kusema JPM ndio aliingilia na kuharibu - fact ambayo unapotosha. Nilisema mwandishi alikuwa anajenga narative yake ambayo na wewe umeingia kwenye huo mtego.

Ukisoma hiyo report ya BOT ni tofauti na unachokiongelea, tuwe wakweli na kuandika facts bila kupotosha. Bei ya korosho ulimwenguni imeporomoka kutokana na kuanguka kwa soko hilo. Sasa unaweza kweli kusema hilo ni tatizo la JPM? I knew Alawi alikuwa anapamba anachotaka kuwaaminisha wasomaji wake. BTW hiyo drop ya 55% haikusababishwa na korosho pekee.
Serikali haikuuza zile korosho nje, ilipigwa danadana na mnunuzi kutoka Kenya halafu ikaonekana mnunuzi tapeli, kisha hatukusikia mtu yeyote kununua korosho zile, na window ya advantage kwa Tanzania kwenye soko la korosho ni ndogo sana kwa sababu miezi michache tu ikipita korosho za sehemu nyingine duniani zinaingia katika soko na kifanya bei iwe ya mashindano sana.

Magufuli kuingilia biashara ya korosho kumefanya

1. Wafanyabiashara washindwe kuuza korosho katika hiyo narrow window yenye bei nzuri.

2. Serikali kuchukua korosho kwa kutumia jeshi ambalo halina utaalamu na biashara ya korosho, na kuanza kutafuta wanunuzi njaa walioonekana matapeli.

3. Mauzo ya mazao ya kilimo nje kushuka kwa zaidi ya 55%. Hili ni poromoko kubwa sana.

Hiki ndicho kikubwa kabisa kilichochangia mapato ya mazao ya kilimo kushuka kwa zaidi ya nusu.

Na kikubwa kilichotufikisha hapo ni Magufuli.

Mpaka sasa serikali yenyewe imekubali kushindwa katuka hili, Naibu Waziri Bashe kasema serikali haitaingilia biashara ya korosho mwaka huu.

Ila mashabiki wa Magufuli hamtaki kusikia ukweli huu.
 
Serikali haikuuza zile korosho nje, ilipigwa danadana na mnunuzi kutoka Kenya halafu ikaonekana mnunuzi tapeli, kisha hatukusikia mtu yeyote kununua korosho zile, na window ya advantage kwa Tanzania kwenye soko la korosho ni ndogo sana kwa sababu miezi michache tu ikipita korosho za sehemu nyingine duniani zinaingia katika soko na kifanya bei iwe ya mashindano sana.

Magufuli kuingilia biashara ya korosho kumefanya

1. Wafanyabiashara washindwe kuuza korosho katika hiyo narrow window yenye bei nzuri.

2. Serikali kuchukua korosho kwa kutumia jeshi ambalo halina utaalamu na biashara ya korosho, na kuanza kutafuta wanunuzi njaa walioonekana matapeli.

3. Mauzo ya mazao ya kilimo nje kushuka kwa zaidi ya 55%. Hili ni poromoko kubwa sana.

Hiki ndicho kikubwa kabisa kilichochangia mapato ya mazao ya kilimo kushuka kwa zaidi ya nusu.

Na kikubwa kilichotufikisha hapo ni Magufuli.

Mpaka sasa serikali yenyewe imekubali kushindwa katuka hili, Naibu Waziri Bashe kasema serikali haitaingilia biashara ya korosho mwaka huu.

Ila mashabiki wa Magufuli hamtaki kusikia ukweli huu.

Inaonyesha jinsi ulivyo na chuki na JPM. Korosho zote ziliuzwa tena kuna thread hapa JF. Mlizoea kula vya bure fanyeni kazi zinazoeleweka. Nimekuandikia hapo juu lakini umeweka pamba masikioni. Tafuta uzi wa kuuzwa korosho. baadhi ya mazao kuporomoka imeandikwa ie karafuu uhaba wa mvua nk. au lugha ndio tatizo? Serikali ilisema tangu awali hawatanunua korosho bali itaangalia kwamba wakulima hawadhulumiwi kwa kupewa bei ya peremende. Utapaaza sauti sana lakini JPM yupo hadi 2025 whether you like it or not. Yupo pale kuleta maendeleo ya nchi na wewe kama hutaki tutakuvuta tu hata kwa kamba.
 
Inaonyesha jinsi ulivyo na chuki na JPM. Korosho zote ziliuzwa tena kuna thread hapa JF. Mlizoea kula vya bure fanyeni kazi zinazoeleweka. Nimekuandikia hapo juu lakini umeweka pamba masikioni. Tafuta uzi wa kuuzwa korosho. baadhi ya mazao kuporomoka imeandikwa ie karafuu uhaba wa mvua nk. au lugha ndio tatizo? Serikali ilisema tangu awali hawatanunua korosho bali itaangalia kwamba wakulima hawadhulumiwi kwa kupewa bei ya peremende. Utapaaza sauti sana lakini JPM yupo hadi 2025 whether you like it or not. Yupo pale kuleta maendeleo ya nchi na wewe kama hutaki tutakuvuta tu hata kwa kamba.
Umekariri kwamba nina chuki binafsi na JPM.

JPM kwetu ni family friend kabla hajawa rais. Na katuuzia nyumba ya serikali Oysterbay, worth a lot of money.

Sasa chuki binafsi inaanzaje hapo?

Mimi nilitakiwa kuwa sehemu ya praise team ya JPM kama ningekuwa naangalia ubinafsi, lakini siangalii ibinafsi, naangalia principle.

Hujaelezea habari kwamba serikali imeingilia biashara ya korosho kimakosa mpaka tukakosa a short window of opportunity ya kuuza korosho kwa bei nzuri.

Hujaelezea habari kwamba, serikali yenyewe imekubali kwamba imefanya makosa katika hili, na kwa kupitia Naibu Waziri mpya wa Kilimo, Hussein Bashe, imeahidi kutojiinguza katika biashara ya korosho kama mwaka uana katika msimu huu.

Sasa serikali yenyewe imekubali kwamba imekosea, wewe unaitetea kwamba haijakosea?

Korosho zimeuzwa lini? Wapi? Kwa bei gani?

Kumbuka nazungumzia korosho kuuzwa nje ya nchi, na si kuuzwa kutoka kwa wakulima kwenda serikalini. Korosho kuuzwa kutoka kwa wakulima kwenda serikalini hakuiingizii nchi fedha za kutoka nje.

Yani ushajipa nafasi ya kusema JPM atakuwa hai mpaka 2025, na atakuwa rais, wakati hata hujui kitakachotokea wiki ijayo?

Unanikumbusha rafiki yangu mmoja wa familia ya Mkapa, aliniambia huyu Dr. Omar ndiye atakuwa rais ajaye wa Tanzania.

Halafu mioango yote hiyo ikatibuliwa na kifo.

Acha kujipa utabiri wa yajayo kwa miaka yote hiyo wakati ya kesho tu huyajui.
 
Wakati mwingine tunajifunza kutokana na makosa tuliyoyafanya jana n that's why Bashe akasema govt haitaingilia tena kwny ununuzi na uuzaji wa korosho don't u see that's a good lesson?
Magufuli ameharibu biashara ya korosho mpaka mapato ya taifa ya mazao ya kilimo yameshuka kwa asilimia 55.

Huu ndio unabii unaotaka kuukubali?
 
Mkuu ww ni hatari kwa kujenga hoja aysee ila muelewe Mr Dua nae points zake zna mashiko mzee
Umekariri kwamba nina chuki binafsi na JPM.

JPM kwetu ni family friend kabla hajawa rais. Na katuuzia nyumba ya serikali Oysterbay, worth a lot of money.

Sasa chuki binafsi inaanzaje hapo?

Mimi nilitakiwa kuwa sehemu ya praise team ya JPM kama ningekuwa naangalia ubinafsi, lakini siangalii ibinafsi, naangalia principle.

Hujaelezea habari kwamba serikali imeingilia biashara ya korosho kimakosa mpaka tukakosa a short window of opportunity ya kuuza korosho kwa bei nzuri.

Hujaelezea habari kwamba, serikali yenyewe imekubali kwamba imefanya makosa katika hili, na kwa kupitia Naibu Waziri mpya wa Kilimo, Hussein Bashe, imeahidi kutojiinguza katika biashara ya korosho kama mwaka uana katika msimu huu.

Sasa serikali yenyewe imekubali kwamba imekosea, wewe unaitetea kwamba haijakosea?

Korosho zimeuzwa lini? Wapi? Kwa bei gani?

Kumbuka nazungumzia korosho kuuzwa nje ya nchi, na si kuuzwa kutoka kwa wakulima kwenda serikalini. Korosho kuuzwa kutoka kwa wakulima kwenda serikalini hakuiingizii nchi fedha za kutoka nje.

Yani ushajipa nafasi ya kusema JPM atakuwa hai mpaka 2025, na atakuwa rais, wakati hata hujui kitakachotokea wiki ijayo?

Unanikumbusha rafiki yangu mmoja wa familia ya Mkapa, aliniambia huyu Dr. Omar ndiye atakuwa rais ajaye wa Tanzania.

Halafu mioango yote hiyo ikatibuliwa na kifo.

Acha kujipa utabiri wa yajayo kwa miaka yote hiyo wakati ya kesho tu huyajui.
 
Wakati mwingine tunajifunza kutokana na makosa tuliyoyafanya jana n that's why Bashe akasema govt haitaingilia tena kwny ununuzi na uuzaji wa korosho don't u see that's a good lesson?
Rais kujifunza somo elementary kama hili ni jambo la aibu.

Mbona watu wa kawaida tu ambao hatunanuzoefu katika serikali tuliona hizi habari ni za kijinga na zitatugharimu tangu mwanzo?

Kwa nini serikali ambayo una watu wenye uzoefu wa mika kibao na vyombo vyote vya usalama vinavyokusanya intelligence vimeshindwa kuona hili mapema?

Unaelewa kwamba kuna wataalam wengi sana kwa sasa wanashindwa hata kutoa ushauri mzuri wa kitaalamu kwa sababu mambo yanaendeshwa kisiasa kwa kutumia "amri kutoka juu" na kama ushauri wa kitaalamu ukipingana na "amri kutoka juu" basi mtaalamu ana risk kufukuzwa kazi?

Yani Magufuli kuona kwamba serikali ikiingilia biashara ya korosho itaharibu biashara hiyo kulihitaji utaalamu gani?

Na kama rais anafanya "rookie mistakes" (mistakes zinazofanywa na mtu asiye na uzoefu wa kazi anayeanza kufanya kazi na kujifunza mambo kazini) kama hizi, kuna mangapi mengine anaharibu hatuyaoni wazi?
 
Mkuu ww ni hatari kwa kujenga hoja aysee ila muelewe Mr Dua nae points zake zna mashiko mzee
Mimi sitaki kumuelewa Dua tu, nataka kuelewa ukweli.

Kuna vitu havipingiki.

Sehemu ya mapato ya kilimo kushuka, kwa mfano, ni bei katika soko la dunia. Tuna control ndogo sana katika bei. Nyerere alikuwa anaamka mapema sana anasikiliza BBC bei za mazao ya kilimo katika soko la dunia.

Kwa hivyo sitaki kutoa lawama zote za anguko hili kwa Magufuli.

Lakini pia, Magufuli ana sehemu kubwa ya lawama.

Kwa sababu, katika kitu kama korosho, zao ambalo ndilo la kwanza katika kutuingizia fedha za nje katika mazao ya kilimo, Tanzania ina some control kwenye price, kwa kuwa inaanza kuvuna korosho kabla ya dunia nzima.

Sasa sisi tumepata bahati hiyo, halafu badala ya serikali kushirikiana na wafanyabiashara kuhakikisha wakulima wanapata bei nzuri na wafanyabiashara wanapata soko zuri nje, serikali ikaanzisha mzozo mpaka ile "window of opportunity" ikapita na dunia nzima ikaanza kuvuna korosho, kitu kilichofanya korosho zetu zisiwe na soko zuri tena.

Kwa kweli kuna kipindi bei ya korosho ilipanda sana, kwa kufuata kanuni za uchumi za "demand and supply". Soko lilikuwa halina supply, demand ikawa kubwa, bei ikapanda. Sisi tukawa tuna korosho, lakini hatuuzi kwa sababu ya mizozo ya kisiasa.

Huu ni mchezo wa kucheza na market price. Serikali inatakiwa kuwezesha wafanyabiasha kuuza korosho nje mara moja bei inapokuwa nzuri, bika kuchelewa. Inapochelewesha uuzaji wa kirosho kidogo tu, nchi nyingine zinaanza kuingiza korosho zao kwenye soko, na bei inashuka.

Huu ni mfano mmoja tu. Kuna mifano mingi kama hii ambayo ushauri wa wataalamu hauzingatiwi, serikali inajiingiza katika biashara, halafu baadaye tunakula hasara kubwa sana.

Kwa sababau mtu mmoja kutoka juu anaingilia mipango yote kama yeye ndiye anajua kila kitu.

Halafu watu tukisema maamuzi mabaya ya Magufuli, tunaambiwa kivivu tu kwamba tuna chuki binafsi na Magufuli.

Mimi Msukuma, baba yangu ana urafiki na Magufuli kipindi kirefu. Tangu kipindi cha Mkapa. Ilikuwa Baba yangu akii criticize serikali ya Mkapa kwa maamuzi yake mabaya, kwa maneno ambayo Magufuli alikuwa anataka kusema lakini anashindwa kusema, kwa kanuni za "collective responsibility", Magufuli anafurahia sana maneno ya Baba yangu. Inakuwa kama Baba yangu kasema maneno ambayo Magufuli alitaka kusema akashindwa/akaogopa. Baada ya mzee wangu kusema kesho yake ikawa Magufuli ndiye mtu wa kwanza kumpigia simu kumpongeza.

Sasa mtu kama huyo ambaye kwetu ni kama family friend nitamuwekeaje chuki binafsi?

Mimi naongelea principle tu. Its nothing personal.

Namalizia Kisukuma kwa msisitizo.

O Magufuli kokaya yise ale mnamhala wise gete gete.
 
Umekariri kwamba nina chuki binafsi na JPM.

JPM kwetu ni family friend kabla hajawa rais. Na katuuzia nyumba ya serikali Oysterbay, worth a lot of money.

Sasa chuki binafsi inaanzaje hapo?

Mimi nilitakiwa kuwa sehemu ya praise team ya JPM kama ningekuwa naangalia ubinafsi, lakini siangalii ibinafsi, naangalia principle.

Hujaelezea habari kwamba serikali imeingilia biashara ya korosho kimakosa mpaka tukakosa a short window of opportunity ya kuuza korosho kwa bei nzuri.

Hujaelezea habari kwamba, serikali yenyewe imekubali kwamba imefanya makosa katika hili, na kwa kupitia Naibu Waziri mpya wa Kilimo, Hussein Bashe, imeahidi kutojiinguza katika biashara ya korosho kama mwaka uana katika msimu huu.

Sasa serikali yenyewe imekubali kwamba imekosea, wewe unaitetea kwamba haijakosea?

Korosho zimeuzwa lini? Wapi? Kwa bei gani?

Kumbuka nazungumzia korosho kuuzwa nje ya nchi, na si kuuzwa kutoka kwa wakulima kwenda serikalini. Korosho kuuzwa kutoka kwa wakulima kwenda serikalini hakuiingizii nchi fedha za kutoka nje.

Yani ushajipa nafasi ya kusema JPM atakuwa hai mpaka 2025, na atakuwa rais, wakati hata hujui kitakachotokea wiki ijayo?

Unanikumbusha rafiki yangu mmoja wa familia ya Mkapa, aliniambia huyu Dr. Omar ndiye atakuwa rais ajaye wa Tanzania.

Halafu mioango yote hiyo ikatibuliwa na kifo.

Acha kujipa utabiri wa yajayo kwa miaka yote hiyo wakati ya kesho tu huyajui.
Ati ni family friend, kama sio ujuha ni nini? kama ni family friend na ulinunua nyumba so what?
Umekariri kwamba nina chuki binafsi na JPM.

JPM kwetu ni family friend kabla hajawa rais. Na katuuzia nyumba ya serikali Oysterbay, worth a lot of money.

Sasa chuki binafsi inaanzaje hapo?

Mimi nilitakiwa kuwa sehemu ya praise team ya JPM kama ningekuwa naangalia ubinafsi, lakini siangalii ibinafsi, naangalia principle.

Hujaelezea habari kwamba serikali imeingilia biashara ya korosho kimakosa mpaka tukakosa a short window of opportunity ya kuuza korosho kwa bei nzuri.

Hujaelezea habari kwamba, serikali yenyewe imekubali kwamba imefanya makosa katika hili, na kwa kupitia Naibu Waziri mpya wa Kilimo, Hussein Bashe, imeahidi kutojiinguza katika biashara ya korosho kama mwaka uana katika msimu huu.

Sasa serikali yenyewe imekubali kwamba imekosea, wewe unaitetea kwamba haijakosea?

Korosho zimeuzwa lini? Wapi? Kwa bei gani?

Kumbuka nazungumzia korosho kuuzwa nje ya nchi, na si kuuzwa kutoka kwa wakulima kwenda serikalini. Korosho kuuzwa kutoka kwa wakulima kwenda serikalini hakuiingizii nchi fedha za kutoka nje.

Yani ushajipa nafasi ya kusema JPM atakuwa hai mpaka 2025, na atakuwa rais, wakati hata hujui kitakachotokea wiki ijayo?

Unanikumbusha rafiki yangu mmoja wa familia ya Mkapa, aliniambia huyu Dr. Omar ndiye atakuwa rais ajaye wa Tanzania.

Halafu mioango yote hiyo ikatibuliwa na kifo.

Acha kujipa utabiri wa yajayo kwa miaka yote hiyo wakati ya kesho tu huyajui.

Family friend tangu lini kama sio ujuha ni nini? Ati katuuzia nyumba, absolutely stupid! Kwani nyumba zilikuwa za JPM au Serikali? This proves that you are a pathological liar. what type of principals you follow are absolutely nonsense. Serikali kununua korosho haikufanya kosa lolote kwa sababu: 1) Makangomba walikuwa wanawadhulumu wananchi kwa kuwapa bei ndogo. Serikali iliamua kuchukua uamuzi wa kuwapa wananchi bei nzuri. Wewe mlanguzi ndiye unalalamika kwa sababu mrija wako umekatwa. 2) Serikali haikusema ilifanya makossa tena haikuahidi kununua korosho kila msimu lakini itaingilia tena kama dhuluma itajitokeza, sio kwenye korosho tu bali kwa kila bidhaa.
Serikali zote duniani huwa zinaingilia biashara zote nchini mwake mfano: 1) USA na Huaiwei ya China, 2) UK na Euro countries etc
Unapotaka Serikali isiingilie maslahi ya watu wake huo ni wendawazimu kwa sababu Serikali ndio iliyopewa dhamana kuangalia maslahi ya raia wake vile vile ndio yenye uwezo wa kukusanya kodi. You must be living in a cuckoo land.

Korosho ziliuzwa nje ya Tanzania link: https://www.jamiiforums.com/threads/world-largest-deal-in-cshew-nut-trading-history.1622477/
 
Ati ni family friend, kama sio ujuha ni nini? kama ni family friend na ulinunua nyumba so what?


Family friend tangu lini kama sio ujuha ni nini? ati katuuzia nyumba, absolutely stupid!Kwani nyumba zilikuwa za JPM au serikali? This proves that you are a pathological liar. what type of principals you follow are absolutely nonsense. serikali kununua korosho haikufanya kosa lolote ka sababu: 1) Makangomba walikuwa wanawadhulumu wananchi kwa kuwapa bei ndogo. Serikali iliamua kuchukua uamuzi wa kuwapa wananchi bei nzuri. Wewe mlanguzi ndiye unalalamika kwa sababu mrija wako umekatwa. 2)serikali haikusema iifanya makossa tena haikuahidi kununua korosho kila msimu lakini itaingilia tena kama dhuluma itajitokeza, sio kwenye korosho tu bali kwa kila bidhaa.
Serikali zote duniani huwa zinaingilia biashara zote nchini mwake mfano: 1) USA na Huaiwei ya china, 2) UK na Euro countries etc
Unapotaka serikali isiingilie maslahi ya watu wake huo ni wendawazimu ka sababu Serikali ndio iliyopewa dhamana kuangalia maslahi ya raia wake vile vile ndio yenye uwezo wa kukusanya kodi. You must be living in a cuckoo land.

Korosho ziliuzwa nje ya Tanzania link: https://www.jamiiforums.com/threads/world-largest-deal-in-cshew-nut-trading-history.1622477/
Umejaribu kulazimisha kwamba nina chuki binafsi na JPM.

Nimekuonesha kwamba, kama tunaangalia mambo ya binafsi, nina sababu nyingi za kumkubali JPM kuliko kumchukia.

Kwa sababu kwetu ni family friend na katuuzia nyumba yabserikali Oysetrbay.

Pia, ni Mzee wa Kisukuma, mimi kama ningekuwa naangalia hayo mambo ya ubinafsi na ukabika, nina kika sababu ya kumshangilia JPM, lakini siangalii hayo, naangalia principle.

Kwa hiyo hoja yako kwamba nina chuki binafsi na JPM imekuwa haina mashiko.


Hiyo link ya thread ya ununuzi wa korosho umebanwa kuelezea validity ya habari, umeshindwa.

Unaleta uzi ambao hujathibitisha habari kama uthibitisho korosho zimeuzwa nje?
 
Umejaribu kulazimisha kwamba nina chuki binafsi na JPM.

Nimekuonesha kwamba, kama tunaangalia mambo ya binafsi, nina sababu nyingi za kumkubali JPM kuliko kumchukia.

Kwa sababu kwetu ni family friend na katuuzia nyumba yabserikali Oysetrbay.

Pia, ni Mzee wa Kisukuma, mimi kama ningekuwa naangalia hayo mambo ya ubinafsi na ukabika, nina kika sababu ya kumshangilia JPM, lakini siangalii hayo, naangalia principle.

Kwa hiyo hoja yako kwamba nina chuki binafsi na JPM imekuwa haina mashiko.

Ulitaka Serikali wakiuza korosho waje wakutafute wewe Kiranga JF, wakuambie sasa tumeuza korosho, what a life grow up and behave your age na wacha kupotosha ukweli. Kwa JPM mmegonga mwamba yeye atawatumikia Watanzania wote bila kujali itikadi zao na kuivusha hii nchi kutoka makucha ya wasioitakia mema.

Chuki zako binafsi haziwezi kuchelewesha maendeleo ya nchi hii Period!
 
Ulitaka Serikali wakiuza korosho waje wakutafute wewe Kiranga JF, wakuambie sasa tumeuza korosho, what a life grow up and behave your age na wacha kupotosha ukweli. Kwa JPM mmegonga mwamba yeye atawatumikia Watanzania wote bila kujali itikadi zao na kuivusha hii nchi kutoka makucha ya wasioitakia mema.

Chuki zako binafsi haziwezi kuchelewesha maendeleo ya nchi hii Period!
Hujathibitisha nina chuki binafsi, unalazimisha tu.

Serikali ina wajibu wa kuwataarifu wananchi wote kuhusu mambo yote yenye maslahi ya umma.

Hili lipo katika katiba.

Tatizo hata katiba huijui.


In additiin, nature abhirrs a vacuum. Kama serikali imeuza korosho vizuri, hiyo ni habari nzuri. Kwa nini habari nzuri ya ukweli ifichwe na kutoa nafasi kwa uongo wenye habari mbaya?

Serikali isipojinadi kwa habari nzuri itakuwa ya kipumbavu kuliko kipimo.
 
Hujathibitisha nina chuki binafsi, unalazimisha tu.

Serikali ina wajibu wa kuwataarifu wananchi wote kuhusu mambo yote yenye maslahi ya umma.

Hili lipo katika katiba.

Tatizo hata katiba huijui.

Sio wewe uliyesema JPM alikuuzia nyumba? Sasa leo unasema unafuata principle kwa nini huendi kumshauri rafiki yako kama ni kweli? Nafahamu hapo unajibinafsi tu huna lolote. Wivu tu unakusumbua.
 
Back
Top Bottom