ipo gesti inaitwa CHELSEA-GUEST HOUSEHivi Kitunda gesti gani nzuri? Isiyo na kunguni na vitanda visivyolalamika?
Na pepo lilivokuwa na nguvu wala hukuanguka! Au ulikuwa huumwi vizuri?
atikuna mda nilitaka kweli divai sana maana nilikuwa na kiu,na mavazi yenyewe mm we acha tu boxer na vest
Hommie kakague miedu ze nidiful kwa kujali maslahi, ila hapa kuna watu watajifanya hawana macho... wanasahau kuwa maisha sio MAGUMU ila kazi ndo NGUMU na mwanaume lazima ugangamale!
Hivi Pearl hizi mbavu zangu huzieonei huruma hata kidogo? dah
Pearl unaonaje tukienda kufanya tathmini ya maombi yetu hapa!ipo gesti inaitwa CHELSEA-GUEST HOUSE
Dah! Ugua tena tafadhali!kuna mda nilitaka kweli divai sana maana nilikuwa na kiu,na mavazi yenyewemm we acha tu boxer na vest
Hahaha! Haijalishi bana! Fita ni fita Mura!ati
utasababisha kaizer asipokee masakrament jumapili
ipo gesti inaitwa CHELSEA-GUEST HOUSE
hivi bado mnatafuta guest houz tu?????
hahaaaaaYeah! Mimi sasa nimeamua kuingia kwenye google kabisa ili nitafute vizuri!
Pearl unaonaje tukienda kufanya tathmini ya maombi yetu hapa!
Dah! Ugua tena tafadhali!
Hahaha! Haijalishi bana! Fita ni fita Mura!
hahaaaaa
ni nini shida, viwango au masharti magumu?? maana naona zinauliziwa za kitunda sasa
Hahahaha duh Kitunda tena? Nilikuwa huko two weeks ago, kwa hiyo this weekend ni Mkuranga!
BTW Kaizer mtungi wetu wa maji ya kunywa njiani huo hapo kwenye picha!
Nimeshafika. Eagerly waiting!ok twende basi,naanza kuumwa now naskia kutapika
hahaaa for the same mission?? ulikuwa guest gani??
ona sasa unamtia kiu B wangu na hizo chupa za sisiem!!!!
Nilikwenda kutafuta kiwanja cha kujenga shule ya bweni ya chekechea na msingi.....!! Kama kulikuwa na mambo ya gesti basi hilo lilikuwa ni yatokanayo na haikuwa agenda kuu!
Hata Mkuranga ni hivyo hivyo! Gesti ni yatokanayo!
Nimeshafika. Eagerly waiting!
dah!namna hii kwelikeep on waiting dia c ata Yesu unajua tunamsubiri?
dah!namna hii kweli
hahaaa leo unachomoka duh!!!
lakini umesema hutalala mwenyewe vinginevyo bora ubaki Mzalendo ukila mishikaki.....
Ni kwa sababu tu ya hii hali ya hewa ya leo!!!