yang
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 733
- 801
Kwa mujibu wa Albert Pike katika morals and dogma of ancient and accepted Scottish rite Anadai Freemason sio kitu Bali ni muunganiko wa symbol na Kabbala science
Sasa ukiangalia Kabbala utakuta kuna vitu vingi vinashare na dini hizi kubwa
Nature ya Kabbala ni waisrael na nature ya ukristo ni waisrael so means roots za biblia zinalie katika Kabbala pia hata katika uislamu kuna vitu vinashare na Kabbala
Mfano kuna kitabu kinaitwa "khazinatu asrarulkubra" ni cha kiarabu kinaeleza dua mbali mbali ukiangalia vizuri Hiko kitabu utaona hakuna tofauti na Kabbala
So tukiangalia vizuri inawezekana Hawa mason wapo practical zaid ya dini zilizozoeleka
Sasa ukiangalia Kabbala utakuta kuna vitu vingi vinashare na dini hizi kubwa
Nature ya Kabbala ni waisrael na nature ya ukristo ni waisrael so means roots za biblia zinalie katika Kabbala pia hata katika uislamu kuna vitu vinashare na Kabbala
Mfano kuna kitabu kinaitwa "khazinatu asrarulkubra" ni cha kiarabu kinaeleza dua mbali mbali ukiangalia vizuri Hiko kitabu utaona hakuna tofauti na Kabbala
So tukiangalia vizuri inawezekana Hawa mason wapo practical zaid ya dini zilizozoeleka