endapo utamwambia it's over alafu yeye aseme ntakufa na wewe au ama zako au zangu kama nilivyoambiwa
labda anataka kupima altitude ya malove kutoka usawa wa moyo?
Hii lugha tuacheni utani jamani...Ina wenyewe hii!....huh!
Mimi ningekuwa wa aina yako ningeandika kiswahili, bora lawama kuliko fedheha.