How did i do that.......????

Huyo dawa yake makofi tu na kumshtaki kwa wazazi wake.
 
Mtafute ufanye unachokiwaza ,mkeo akijua uyamalize mwenyewe
 
Sisemi hivi ili nikushtue ila umenotice kwamba umeshindwa kukaa na hili swala mpaka umelileta hapa? Umewahi kujua kua baada ya kumkataa mtu na akakaa mbali na wewe inaweza kukufanya umsake?
Hoja yangu ni kwamba umependa attention aliyokupa binti hivyo saa hii utaishi ukitamani aendelee kukupa hiyo attention.

Ni nature. Kila mtu anacrave ile feeling ya kuhisi they are wanted. So ukiendekeza utashangaa ushamla
 
Ulichokifanya vizuri kutokutumia miranda unacholala na mkeo....
 
Hongera sana kwa kuruka mtego, mana usikute ametumwa ili wajue ww ni mwaminifu au lah. epuke dhambi isiyokuwa ya lazima ni bora upige show zako mbali kuliko nyumbani kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…