Huko kunaitwa kuruka majivu na kukanyaga Moto usifikiri ndo umemaliza tayari huyo binadamu kaweka kitu fulani akilini mwako,Kama hujafanya Leo basi kesho ipo kikubwa ni uzima na muda tu mambo hujipa yenyewe,tatizo si kukataa bali kuusimamia msimamo wa kukataa hilo ndo gumu..π€π€π€
Sisemi hivi ili nikushtue ila umenotice kwamba umeshindwa kukaa na hili swala mpaka umelileta hapa? Umewahi kujua kua baada ya kumkataa mtu na akakaa mbali na wewe inaweza kukufanya umsake?
Hoja yangu ni kwamba umependa attention aliyokupa binti hivyo saa hii utaishi ukitamani aendelee kukupa hiyo attention.
Ni nature. Kila mtu anacrave ile feeling ya kuhisi they are wanted. So ukiendekeza utashangaa ushamla
Hongera sana kwa kuruka mtego, mana usikute ametumwa ili wajue ww ni mwaminifu au lah. epuke dhambi isiyokuwa ya lazima ni bora upige show zako mbali kuliko nyumbani kwako