How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

Nina uhakika wa asilimia mia angewauliza wananchi wa chato awafanyie nini kama kweli anawapenda na si kwa sifa kwake uwanja wa ndege usingekuwepo kwenye list.
Viongozi wanasahau wateja wa maendeleo ni wananchi wao
 
Sawa tu mwacheni afanye atakavyo ma-Tanzania yenyewe mapumbav sasa sisi tufanye nini? Si unaona majitu yanavyotoa mapovu humu ndani kushabikia ujinga? Ina maana mwalimu hakuwa na akili wao ndo wanajiona bora kuliko wengine? Unawekezaje vitu vikubwa vikubwa hivyo utafikri utakaa kwenye kiti milele? Hata aibu usoni hawana, hivi angejificha nyuma ya Geita nani angelalamika? Hapa namaanisha kwamba huo uwanja angeuweka Geita wala watu wasingeona shida! Kuna jamaa zangu niliwaambia kwamba mtu wenu ni mbinafsi wakanibishia, sasa nafikri wanajionea wenyewe!! Alianza na barabara, akapindisha iliyokuwa inatakiwa kupitia Biharamulo akaipeleka Chato, akaja makao makuu ya mkoa akaanzisha ujenzi wa majengo ya hatari sana ili Chato yawe makao makuu ya mkoa (hongera yao waliweza kumdhibiti), akaja taa za kuongozea magari akaweka Chato na sasa tunajionea international airport, kazi tunayo!!
Ahsante kaka ...watakaokuelewa wataelewa

magufuli ni mwanachato mzuri kuliko mtanzania...

Magufuli ameiboresha sana chato lakini haitikii wito kwa kuwa sio mji potentual kabisaaa..

Chato INA traffic lights pahali ambapo hata kuona magari yakipishana ni tabu...
 
Kama nilivyosema sielewi mfumo wa Serikali yetu unavyofanya kazi, inawezekana kabisa ndiyo mpango wao wa kwamba kila Kiongozi anafanyiwa mambo fulani kwao kwa maana wote ni hivyo hivyo ukienda Same huko kuna lami mpaka vijijini hata hazitumiki akina Msuya walijenga, kwanza Same mbali hapa hapa Dar ukienda Mbezi Beach Kilongawima lami imejengwa mpaka mlangoni kwa Mwamunyange (Mkuu wa Majeshi) kupitia nyumba pia ya aliyekuwa Mkuu wa Usalama Apson kabla ya hapo kulikuwa hakuna lami ukienda Sala sala (Kunduchi) lami imepigwa kuzungunguka karibia Sala sala yote mpaka mlangoni mwa Mboma ambaye alikuwa Mkuu wa Majeshi, ukienda Ada estate Migombani kote kumezungushwa lami kwa sababu ya nyumba ya Kikwete, ukienda Mikocheni kwa Mzee Mwinyi ile br. inyaozunguka nyumba yake imewekwa lami kwa ajili yake tu, na hayo yote yanatumia kodi zetu ambapo pia ungeweza kuhoji kwa nini wasijenge lami sehemu ambazo ni muhimu zaidi?

Hivyo hoja yangu imejikita kwenye fairness kumfananisha Raisi Magufuli na Mobutu kwa sababu uwanja wa ndege unajengwa Chato siyo kuwa fair kwake kwa maana viongozi wote wa Tanzania hufanya hivyo, hivyo kama ulitaka kuwa fair ungehoji uhalali wa kujengwa Uwanja wa ndege Chato na siyo kumfananisha Raisi Magufuli na Mobutu huku wengine kama Mlm.Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Mawaziri Wakuu karibia wote walifanya hivyo hivyo lkn wao kuwaacha kwenye ulinganisho na Mobutu
Hao wana wivu wa kike. Walitarajia upendeleo kama walivyozoea. Huu ni wakati wa KAZI TU
 
Ila wee bibi unaboa sana. Una ushabiki uliopitiliza. Kwani huyo jpm alipata kura yako pekee? Mbona wengi walimpigia na kumpenda lakini haina maana kuwa kila afanyalo ni sahihi.

Kweli unalingamisha Daraja la Mkapa na Uwanja wa ndege wa kimataifa Geita?
Unalinganisha Mtwara Corridor na Uwanja wa kimataifa wa geita?
Unalinganisha Bagamoyo Mega port na Uwanja wa Kimataifa Geita?
Unamaanisha kweli kuwa Kisarawe imeendelea? Kwa lipi hasa?
Wewe hebu iache geita yangu.
 
Mwili wa Samuel Doe, ukiwa na Dalili
0000259407-004-jpg.jpeg


Gofu La Hekalu alilokuwa Akijijengea
800.jpg


Madictator Nani Huwa anawaloga, Ni shetani Gani anawaingia wanasahao wao ni Binaadamu?
 
Hata mimi nahisi huyu mwandisho sio mtanzania, maana Tz kupata kichwa kama hiki labda vizaliwe vizazi vingine visivyotokana na generation hii which is impossible!
waandish kama akina gondwe wanafanya sherehe kuteuliwa ukuu wa wilaya,
 
Hata mimi nahisi huyu mwandisho sio mtanzania, maana Tz kupata kichwa kama hiki labda vizaliwe vizazi vingine visivyotokana na generation hii which is impossible!
waandish kama akina gondwe wanafanya sherehe kuteuliwa ukuu wa wilaya,
 
Kuna Kiongozi wa Tanzania ambaye hajawahi kujenga kwao ukiondoa Mkapa tena ambaye anachekwa na kulaumiwa na Watz hao hao kama wewe alipoenda kujenga Lushoto badala ya kwao Mtwara, hata hivyo Mkapa alijenga Daraja kwao lijulikanalo kama Daraja la Mkapa, alifufua Mtwara corridor ambapo lengo ni kuunganisha Bandari ya Mtwara na Ziwa Nyasa vile vile alijenga Daraja la umoja kuunganisha TZ (Mtwara) na Msumbiji kote huko ni kwao yeye Mkapa?

Mlm.Nyerere aliijenga kwao Butiama leo hii hata mtoto mdogo anajua Butiama ni nini na wapi ingawaje hakuna chochote huo isipokuwa ni kwamba ni mahali alipotoka Mlm.Nyerere hata Mkoa wa Mara haukuwepo wkt tunapata uhuru lkn Ml.Nyerere aliuanzisha kwa sababu ni kwao achilia mbali Wakuu wote wa Majeshi TZ walitokea Mkoa wa Mlm.Nyerere Mara, ingawaje hiyo ni mada nyingine, akaja Mwinyi kwetu Pwani kulikuwa hakujulikani kwanza yote tulikuwa kama sehemu ya Mkoa wa Dar kwa kuwa Mwinyi kwao asilia ni Kisarawe akaanzisha hiyo Wilaya na kuunda rasmi Mkoa wa Pwani kuutenganisha na Dar leo hii Kisarawe imeendelea ni kwa sababu ya Mwinyi tu, akaja Kikwete hakuna aliyeijua Msoga na Chalinze ukiachia njia ya kuendea Mikoani lkn Kikwete (Serikali) aliwekeza Bagamoyo na Chalinze mambo mengi yalifanyika huko kama mradi mkubwa wa maji kwenda Chalinze, hata kulikuwa na mpango wa kujenga Airport mpya na kubwa ya Kimataifa Bagamoyo achilia mbali Bandari ya Bagamoyo na mambo mengine mengi tu, sasa kwa nini kwa raisi Magufuli ije kuwa nongwa na tayari mnamlinganisha na Mobutu kama siyo chuki binafsi ni nini?

Inawezekana kabisa labda ndiyo mfumo wetu na mpango wa Serikali yetu kwamba Kiongozi Mkuu wa nchi anakotoka kunapewa upendeleo fulani, kwa maana wote ni hivyo hivyo hata Monduli inajulikana tu kwa sababu ya Sokoine, Same imejengwa na kuunganishwa na Umeme na Br. kwa sababu ya Msuya kabla ya Msuya Same ilikuwa ni kijiji tu na vumbi tupu, Manyara umekuwa tu Mkoa kwa kumegwa ktk Arusha kwa sababu ya Sumaye, yeye ndiye aliyefanikisha hilo kwa kuwa ni kwao, Katavi imekuwa tu Mkoa kwa sababu ya Pinda ambaye ni kwao, sasa kwanini iwe ishu kwa Magufuli kama kila Kiongozi kuanzia Nyerere wote walikupa kwao upendeleo maalumu? Kwa nini hamfananishi Mlm.Nyerere na Mobutu?
Aisee, kama ndivyo uelewa wa wengi wetu uko hivi basi ni shidaaa!
 
JPM aache ukabila mapema!!

Nyerere angekuwa kama yeye makao makuu ya nchi yangekuwa MUSOMA. Within just 8 months with 1 Trillion Tshs Expenditure in MAGUFULI's Motherland!!
 
Imenilazimu post yangu niliyomjibu nii-edit kwa ajili ya huyo mtu manake lazima ningekula ban tu! Na kimsingi I don't care about the distance between Mwanza and Chato; the whole investment isn't viable hata kama umbali kati ya Chato na Mwanza ingekuwa 1000 Kilometers! Huwezi kujenga international airport simply because huko ndiko anatoka rais! Mtwara to Masasi is almost 200 km lakini Mkapa hakujenga airport Masasi wakati am very sure Masasi (mjini) ni kubwa na very busy kuliko Chato (mjini) kwa zaidi ya mara 3 kama sio 5 kabisa! Umeizungumzia Mtwara na Lindi; pale Lindi leo hii hata ukiweka International Airport ni understandable hata kama kwa sasa haiwezi kuwa viable investment but forecast inaoenesha within 10 years Lindi and/or Mtwara will be economically potential areas!

Siamini kama kuna mtu yeyote anaweza kuunga mkono ujenzi wa uwanja wa ndege Chato, kama yupo, basi huyo mtu hata kumwita mpu.mbavu itakuwa ni kumpamba.
 
uadilifu upi? unajua uadilifu ww?




Haya ni matokeo ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, nasisi tukiwalea akina Lissu tutafika huko, tuwekee na mji wa syria Libya na Iraq,


Umemuelewa lakini mleta mada au unakurupuka.

Mshaurini vizuri mkuu wa nchi.

Km Chache toka Mji wa Chato kuna kiwanja cha ndege cha Biharamulo eneo la Katoke.
Kiwanja hicho ni cha nyasi kilipaswa kikarabatiwe ili Kitumike kwa manufaa ya Watu wa Biharamulo na Chato.

Miundo mbinu inapaswa iangalie pia masuala ya kiuchumi. Chato haina hadhi ya kuwa na uwanja wa ndege wa kimataifa ni kupoteza rasilimali fedha za umma.

Baada ya Kuhamia Dodoma ambapo napo patajengwa Uwanja wa ndege wa kimataifa viwanja vya ndege vya miji midogo ya pembezoni vitakufa .
Watu watatoka Dodoma na kutumia usafiri wa magari mana patakuwa karibu kwenda Tabora ,Singida, Geita n.k.
Ndio maana huwezi leo ukajenga kiwanja cha ndege Kibaha kwani tayari uwanja wa mwalimu Nyerere unatosha.

Mleta mada anakuonyesha jinsi majumba na viwanja vya ndege alivyojijengea Mabuto Sese seko kwa kuamini kuwa atakua raisi wa maisha vimekufa baada ya kuja kiongozi Mwingine mwenye maono tofauti na yake.

Hata hivyo MUDA ndio utakao toa majibu sahihi kwenye awamu hii ya tano.
 
Pata picha kwa speed hii, try to figure in 2035 after this heavy investment starting now if at all he will stay in power for 10 years, i hear a talk about textile factories but i read of gazetted GOT tenders about construction of an international Airport less than 140 km from what is soon to be Mwanza International Airport while Mtwara and Lindi with resources valued at over $400 bln that need over $30 bln worthy of investment; lays idle without the necessary infrastructure to support those massive investment projects i.e. mega LNG plant. A rival Mozambique has already built an international airport at Nacala to make the movement of poeple easier at both the Nacala port and Ruvuma basin where massive gas at over 160 Tcf compared to ours at 57 Tcf has been discovered!


President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures
Cities is supported by

Rockefeller Foundation

The president of what was then Zaire lavished millions on a palace complex and international airport in the remote town of Gbadolite. Guardian photographer Sean Smith heads for the jungle to document the pitiful shell that remains

Where Concorde once flew: the story of Mobutu’s ‘African Versailles’

Sean Smith in Gbadolite

Tuesday 10 February 2015 13.04 GMT Last modified on Tuesday 10 February 2015 14.04 GMT

Save for later

A mural of former President Mobutu outside the mayor’s office in Gbadolite. When Joseph Desire Mobutu took power he renamed himself Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Waza Banga (meaning ‘the all-powerful warrior who, because of endurance and an inflexible will to win, will go from conquest to conquest leaving fire in his wake’)
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

2645d9fc-d331-45f5-865f-9470dcade545-2060x1310.jpeg


The air-traffic control tower of Gbadolite’s international airport, whose runway is long enough to accommodate Concorde. Now it welcomes only two or three tiny aircraft a week from the UN and a commercial operator
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
8dbac820-e933-49a5-8883-4208baad971a-2060x1236.jpeg

Inside the abandoned control tower
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

9d5f02a2-ede1-4780-a3ed-4caab3e01c40-2060x1297.jpeg


The VIP arrivals terminal: Pope John Paul II, UN secretary-general Boutros Boutros Ghali and American televangelist Pat Robertson may have all passed through here
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
32c0ddd8-e5eb-4fa4-b6c0-3805d94c844a-2060x1236.jpeg




Inside the main airport terminal
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
6d73d197-4957-470f-a8d8-759750857478-2060x1236.jpeg


The main terminal at Gbadolite airport
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

6dd40f39-0d0f-48b4-bcb0-ac078eb65d48-2060x1297.jpeg


The Water Ministry building was never finished and is now used as a school
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

6ac1e86b-e8c1-4fca-9315-6ec69282701c-2060x1236.jpeg


Inside the school
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
c0bbd0b0-921c-429e-890d-9012e63bdd67-2060x1267.jpeg





The Motel Nzekele, built by Mobutu, had five stars when it opened in 1979
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
5bc122d3-6dfb-4be9-9371-ce6cdced7cc0-2060x1297.jpeg


The motel’s empty swimming pool. Guests reportedly included the pope, the Belgian king and French president François Mitterrand
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
ad9480cb-9786-48f0-bb16-7dadac42f26d-2060x1327.jpeg


Ripped cinema seating inside the Motel Nzekele
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
54fdca50-06e3-4457-982f-901085dfc616-2060x1236.jpeg


An unfinished bridge in Gbadolite
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
a324e328-2380-40e9-9d26-906b6cea8d84-2060x1236.jpeg


The main gates to Mobutu’s private palace still stand. Locals charge visitors $20 to access the former president’s estate
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
42e135cf-0235-4565-a629-dab114f141de-2060x1330.jpeg


The entrance gate and road to the main palace complex
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
50ebf28f-7e6d-4e42-b961-4b30c2359fa7-2060x1320.jpeg


Walking among the ruins. Mobutu’s private palace, seven miles outside town in Kawele, once brimmed with paintings, sculptures, stained glass, ersatz Louis XIV furniture and marble from Carrara
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
15e1b139-0e60-47ee-b399-42e6abd8eb0d-2060x1280.jpeg

Francois Kosia Ngama, whose grandmother was a teacher to Mobutu’s mother, stands in the disused swimming pool
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
be82b6c0-d5ec-404a-89db-9ea00f76fbdf-2060x1373.jpeg


Mobutu’s palace. In its heyday it employed more than 700 staff - including chauffeurs, chefs and servants - as well as 300 soldiers
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

846cec32-beba-4019-bfba-d759a5705dba-2060x1236.jpeg

Inside the palace grounds. Slowly but surely, the palace is being reclaimed by the jungle
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
fb0a72e8-955e-4296-94c7-c0332ab82bfc-2060x1287.jpeg


Inside Mobutu’s bedroom. The entire roof of the palace has gone, leaving only a skeleton of red steel girders
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
32a861f6-0af8-40c4-a8d3-25e028daddda-2060x1314.jpeg


A fountain with statues of lions. Only two of the original four remain
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
a30f0956-7897-40fc-8669-34d79a0a2bda-2060x1236.jpeg

President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures
Ukisikia roho ya kutu ndio hii aliyonayo mleta mada..

Seriously??? Unamfananisha mobutu na JPM??? Aisee kweli kuna watu hata uwape dhahabu watakwambia me sitaki nataka kokoto..

Dirty Politics za mwenyekiti wa kushikishana ukuta zimewaharibu baadhi ya watu akili... mmoja wapo ni...
 
Umemuelewa lakini mleta mada au unakurupuka.

Mshaurini vizuri mkuu wa nchi.

Km Chache toka Mji wa Chato kuna kiwanja cha ndege cha Biharamulo eneo la Katoke.
Kiwanja hicho ni cha nyasi kilipaswa kikarabatiwe ili Kitumike kwa manufaa ya Watu wa Biharamulo na Chato.

Miundo mbinu inapaswa iangalie pia masuala ya kiuchumi. Chato haina hadhi ya kuwa na uwanja wa ndege wa kimataifa ni kupoteza rasilimali fedha za umma.

Baada ya Kuhamia Dodoma ambapo napo patajengwa Uwanja wa ndege wa kimataifa viwanja vya ndege vya miji midogo ya pembezoni vitakufa .
Watu watatoka Dodoma na kutumia usafiri wa magari mana patakuwa karibu kwenda Tabora ,Singida, Geita n.k.
Ndio maana huwezi leo ukajenga kiwanja cha ndege Kibaha kwani tayari uwanja wa mwalimu Nyerere unatosha.

Mleta mada anakuonyesha jinsi majumba na viwanja vya ndege alivyojijengea Mabuto Sese seko kwa kuamini kuwa atakua raisi wa maisha vimekufa baada ya kuja kiongozi Mwingine mwenye maono tofauti na yake.

Hata hivyo MUDA ndio utakao toa majibu sahihi kwenye awamu hii ya tano.

watu wanajivisha pamba masikioni

Ndio mzee zimetawala

Mfalme huwa hakosei ...ndivyo wanavyoamini...

It will be too late

BTW nasikia ameweka mataa ya barabarani chato...ilihali hakuna hata traffic jams.....misuse of resources tu
 
Ukistaajabu ya Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Waza Banga utaona ya John Pombe Joseph Magufuli.

Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Waza Banga (meaning ‘the all-powerful warrior who, because of endurance and an inflexible will to win, will go from conquest to conquest leaving fire in his wake’)
 
Back
Top Bottom