How CCM underdeveloped Tanzania

How CCM underdeveloped Tanzania

Well CCM underdeveloped Tanzania... Lakini kwa vyama vilivyopo hakuna ambacho kingetupandisha zaidi ya hapa... Yawezekana ni ccm imara ya zamani ndo imetufikisha angalau hapa tulipo... Kama hivi vyama vya bodaboda ndo tungeaza navyo things could even be worse
 
CCM really underdeveloped TZ lakini viongozi hao hao ndio wanatoka chama A kwenda B. Binafsi nadhani we're not good enough, yaani watanzania hatutoshi, hatutoshi hata kidogo kuliletea taifa maendeleo.

Yaani hata uwape CDM au ACT leo hii, njoo baada ya miaka 20 na utaona upumbavu huu huu CCM inaoonyesha leo.

The problem could be CCM, but we have a bigger problem which is US, TANZANIANS, we are unfit to develop our own nation.
 
Kwa miaka 60 ccm imewanyima watu elimu ili wazidi kuwa wajinga ili watawaliwe kirahisi.Wafanye kuwa masikini ( wasomeshe namba,kukaza vyuma) ili uwatawale kirahisi.Mbinu watumiazo kuwanyima watu elimu ili wazidi kuwa wajinga ( wanyonge),kodi wakomoe kwenye kodi ( mfano kodi ya kuagiza gari ni kubwa kuliko hata gharama za kutengeneza gari lenyewe kiwandani),aliyetuletea ccm alitukosea sana
 
Hivi Walter Rodney bado yupo hai?

Kama yupo hai inabidj aje a edit kila kitabu na title mpya iwe

"HOW AFRICAN POLITICIANS UNDERDEVELOPED AFRICA."

Case study iwe Tanzania under CCM
He was shot in his own country in Guyana.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Umasikini wetu haujaletwa na external factors yaani ukoloni na ukoloni mambo Leo kama tulivokaririshwa kwenye somo la history lililochakachuliwa mashuleni kupitia wajamaa ili wazidi kutajirika watawala na vizazi vyao bali ni internal factors kama mfumo mbovu wa uongozi na ukosefu wa utawala shirikishi,ufisadi,wizi,rushwa na upigaji,uvivu,ubinafsi,roho mbaya,chuki na uchawi hizi ni internal factors ambazo kama mwafrika akizitupa chooni mzungu akasome
 
Back
Top Bottom